My artwork diary

Duuh
 
Hatari Sana huyu jamaa anafanya art za moto kweli kweli yaani ingekua kazaliwa kule Uropa aisee tungeongea mengine ila huku Afrika vipaji Kama hivyo vinaishia Kwa upepo wa kisulisuli
Ila anaweza fanya kitu Dunia now Kama Kijiji atafika mbali akiweka Nia!
 
Aisee bingwa unayaweza, Bravo....

Ingia kwenye social media platforms za wasanii kama umewahi kuisikia hii hapo chini, wasanii wanauza share ideas na vilevile wanatangaza kazi zao na kuuza kutumia hii App, inaitwa Discord

Na pia jaribu kupitia na kuelewa kitu inaitwa NFTs non-fungible tokens.

Dunia imeshakuwa kijiji, hata kama uko sehemu yoyote, ukijichanganya kwa umakini utafanikiwa mkuu.
 
Ahsante sna mkuu kwa kushare out
 
Hahaha,shukran boss
 
Crafted in 2017 hope unaona difference 66KV
View attachment 1959563
Ndiondio mzee hapa ulikuwa hujaiva kwenye shading ,mchawi ni shading ,
Shade unazotoa saizi mjomba hufai kbsa,uko mbali sanaaa,niko na mizuka Mingi Sana na art na kuna kipindi nilikuwa moto ile mbaya Sema nikawa natoa Kazi mbovumbovu ,hazifurahishi macho yangu ,nikawa nimecease kidogo ngoja nianze upya
 
nafikir uyatuze mahitaj yako ukipata pesa umfate umwelezee akuchoree inachkua muda kutengenenza tsaweer ya ina hio.andaaa mawe ukiyapata timba kwa mwana akutolee kitu cha apolo mzee baba.
maulaya bwana ndio wanaelewa hiz ishu mchoro kama van gog unalindwa hadi na fbi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naamu.
 
Sawa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…