Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Siwezi kuku-ignore Don.
Nakutania, nadhani namjua mmoja ambaye yuko kwenye hiyo list.
Siwezi kuku-ignore Don.
Umemjuaje Don. Na yupo pekee yake.Nakutania, nadhani namjua mmoja ambaye yuko kwenye hiyo list.
Umemjuaje Don. Na yupo pekee yake.
Hapana siyo yeye.Kama ni mmoja sidhani, nilihisi ni Bia yetu, maana huyu niliona siku moja kwenye thread nikakwambia achana naye.
Hapana siyo yeye.
Sana, SANA, Sana!!!!Huyo mtu atakuwa amekukera sana, sijategemea hii kutoka kwako.
Pole sana.
Sana, SANA, Sana!!!!
Na nimemchukia sana. Bora tukipishana kwenye mjadala ningeelewa.
Asante Don, nahisi nitapoa nikiacha kuona notifications zake.
wanajaribu ku legalise hayo majina indirectly...Na sisi raia tunaruhusiwa kuwashughulikia hawa walinda maudhui (ma-mods) kwa namna gani? Wengi wamezidisha uonevu eti unaandika "Jiwe" yeye anakulazimisha huo ni mhimili wa Rais, tuna Rais anaitwa Jiwe hapa nchini?
Kitu ambacho ni ujinga!wanajaribu ku legalise hayo majina indirectly...
Maxence Melo iliniwe verified member naitajika kufanye nini.