Jabman
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 1,005
- 1,335
Unakaribishwa kama umechoka marindaWakaka haturuhusiwi?.
Unakaribishwa kama umechoka marindaWakaka haturuhusiwi?.
Mbuzi wanne kwa mzao mmoja?!!Mbona wapo!.Katavi,Rukwa na Kigoma lazima uwakute
Wanapatikana SUA morogoroJamani wana jamvi wenzangu kama kuna mtu anaweza kunisaidia kwa upande wa mawasiliano niwasiliane nao moja kwa moja naombeni msaada tafadhali
Unaweza kunipa direction za kufika huko mbande kwenye hao mbuzi?Bei yake ya sasa hivi ni Laki tatu...na maziwa yake ni dawa kwa watu wenye maradhi ya sukari
Mbande ya Kongwa Dodoma.mbande ya wapi?
Unaweza kuwa na mawasiliano ya mtu yeyote anaeweza kunisaidiaMbande ya Kongwa Dodoma.
Wapo mkuu, nimekulia kwa wafugaji wa kondoo na mbuzi, hiyo kitu ipo.Kwa mapacha wanne kwa mbuzi mn ndio kwanza naskia
Sina ila ni barabarani tu. kama unatoka Dar ukitaka kuvuka lanchi ya Narco angalia mkono wa kulia kuna bango na barabarani ya kuelekea kituo kilipo.Unaweza kuwa na mawasiliano ya mtu yeyote anaeweza kunisaidia
MKUU NAJARIBU KUKUFATA PM ILI TUTETE JAMBO ILA NAONA KAMA UMEFUNGA PM NAOMBA UNIFATE PM MDOGO WAKO UNIELEKEZE MAANA MAISHA YA KUTEGEMEA MSHAHARA WA UNCLE MAGU YAMENISHINDA MIMI AISEESina ila ni barabarani tu. kama unatoka Dar ukitaka kuvuka lanchi ya Narco angalia mkono wa kulia kuna bango na barabarani ya kuelekea kituo kilipo.
Atakuwa anaizungumzia Tanzania Livestock Research Institute iko jirani na LITA Mpwapwa!Dodoma sehemu gani mkuu? Ungetaja na jina la hiyo taasisi. Hapa JF ni mahali pa uwazi na ukweli mambo ya kuficha ficha majina haisaidii
Mkuu hiyo taasisi anayoisema iko Mpwapwa. Ukifika Mpwapwa mjini uliza mtu yeyote akuelekeze LITA Mpwapwa (Zamani LITI Mpwapwa), ukifika hapo waambie.wakuoneshe taasisi ya utafiti wa MIFUGO. Hapo kuna kila aina ya mbuzi Buha, Malya, Gogo white, Toggenburg, Norwegian white, Lindi n.kMKUU NAJARIBU KUKUFATA PM ILI TUTETE JAMBO ILA NAONA KAMA UMEFUNGA PM NAOMBA UNIFATE PM MDOGO WAKO UNIELEKEZE MAANA MAISHA YA KUTEGEMEA MSHAHARA WA UNCLE MAGU YAMENISHINDA MIMI AISEE
Unafuga wapi?Habari wadau nimeanza kufuga mbuzi kwa kununua mbuzi 20 ila ningependa kupata ushauri zaidi jinsi ya kuwatunza,madawa pamoja na chanjo zao
unafuga wapi?
Mi nilianza na wawili mwez january.Kwa namna walivyonona nilishindwa kuvumilia nimewapiga kisu nikawatafuna. Nitaanza rasmi tena mwez june
Paja lilinona likawa kama mstim wa umemeNoma sana