Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

[/QUOTE]
Wadau, mimi nimeanza ufugaji mdogo mdogo kwa malengo ya baadae kuwa wa kibiashara. Ninatafuta mbegu ya mbuzi wanaozaa mapacha wanne. Naomba kama kuna mtu anafahamu mahali niakoweza kuwapata au ni mfugaji ajitokeze tafadhali.

Asanteni


Nipo kigoma mpk J'2 sema offer yako niingie mtaani, tena Jana nilikuwa nyanza lake kule Burundi ndo wamejaa tele.

Lakini kumbka Mbuzi akizaa watoto wanne ni sawa na wewe umezaa!
 
Wadau, mimi nimeanza ufugaji mdogo mdogo kwa malengo ya baadae kuwa wa kibiashara. Ninatafuta mbegu ya mbuzi wanaozaa mapacha wanne. Naomba kama kuna mtu anafahamu mahali niakoweza kuwapata au ni mfugaji ajitokeze tafadhali.

Asanteni
Mbuzi kuzaa mapacha wanne wanafanyiwa dawa mimi ninayo ni ya kiboko, ukichapa viboko vitatu wanazaa watatu na ukichapa vinne wanazaa wanne. Ila mara nyingi huwa nachapa mwisho viboko vitatu labda wawe wakubwa sana kwa umbo ndo unachapa vinne. Usiweke mbele tamaa ya kuzaliwa ndama wenhi ambao mama yao atashindwa kuwanyonyesha kwa kuwatoshereza hivyo kufa kwa njaa au magonjwa kutokana na kuwa na utapiamulo.
 
Mbuzi kuzaa mapacha wanne wanafanyiwa dawa mimi ninayo ni ya kiboko, ukichapa viboko vitatu wanazaa watatu na ukichapa vinne wanazaa wanne. Ila mara nyingi huwa nachapa mwisho viboko vitatu labda wawe wakubwa sana kwa umbo ndo unachapa vinne. Usiweke mbele tamaa ya kuzaliwa ndama wenhi ambao mama yao atashindwa kuwanyonyesha kwa kuwatoshereza hivyo kufa kwa njaa au magonjwa kutokana na kuwa na utapiamulo.

Kwanza mie huwa siamini hatika miujiza, kwahiyo suala la kuchapa viboko siliamini maana ni kama muujiza. Suala la kuzaa mapacha ni la kibaiolojia na urithi na si la kimiujiza. Jambo la pili, nakubaliana na wewe kuwa wasipopata matunzo mazur wanaweza kufa kutokana na kutokula vizuri. Lakini nilishawahi kuwafuga na nilikuwa nawatunza vzr tu. Kwahiyo sina ttz na matunzo ninachohitaji ni mbegu hiyo.
 
Mbuzi kuzaa mapacha wanne wanafanyiwa dawa mimi ninayo ni ya kiboko, ukichapa viboko vitatu wanazaa watatu na ukichapa vinne wanazaa wanne. Ila mara nyingi huwa nachapa mwisho viboko vitatu labda wawe wakubwa sana kwa umbo ndo unachapa vinne. Usiweke mbele tamaa ya kuzaliwa ndama wenhi ambao mama yao atashindwa kuwanyonyesha kwa kuwatoshereza hivyo kufa kwa njaa au magonjwa kutokana na kuwa na utapiamulo.

Kwanza mie huwa siamini hatika miujiza, kwahiyo suala la kuchapa viboko siliamini maana ni kama muujiza. Suala la kuzaa mapacha ni la kibaiolojia na urithi na si la kimiujiza. Jambo la pili, nakubaliana na wewe kuwa wasipopata matunzo mazur wanaweza kufa kutokana na kutokula vizuri. Lakini nilishawahi kuwafuga na nilikuwa nawatunza vzr tu. Kwahiyo sina ttz na matunzo ninachohitaji ni mbegu hiyo.
Wewe uko nchi gani , kumbe wazungu wanaendelea kututawala kiuchumi kwa sababu waneshatutawala kimawazo kupitia dini zao, Angekuwa mzungu usinge bisha angesema kafanya utafiti ili kuboresha mapato wewe unabisha kwa ground za ubishi tu. Ulietoa hoja tafadhari nipe namba yako ili nithibitishe jambo hili.
 
wewe uko nchi gani , kumbe wazungu wanaendelea kututawala kiuchumi kwa sababu waneshatutawala kimawazo kupitia dini zao, Angekuwa mzungu usinge bisha angesema kafanya utafiti ili kuboresha mapato wewe unabisha kwa ground za ubishi tu. Ulietoa hoja tafadhari nipe namba yako ili nithibitishe jambo hili.
Hakuna kitu kama hicho.Hakuna mafanikio yanayotokana na ushirikina
 
Wewe uko nchi gani , kumbe wazungu wanaendelea kututawala kiuchumi kwa sababu waneshatutawala kimawazo kupitia dini zao, Angekuwa mzungu usinge bisha angesema kafanya utafiti ili kuboresha mapato wewe unabisha kwa ground za ubishi tu. Ulietoa hoja tafadhari nipe namba yako ili nithibitishe jambo hili.

Hahahahaaaa!! Sasa kama ni sayansi basi unambie unafanyaje kisayansi kupata hayo matokeo. Maana hivyo ulivyosema kuchapa viboko sielewi kwa vile inaonekana ni miujiza. Nakutumia namba yangu
 
Hakuna kitu kama hicho.Hakuna mafanikio yanayotokana na ushirikina
Sawa mkuu endelea kulala usingizi. Tatizo mnalishwa vitu nanyi mnameza tu bila kujua inaweza kuwa sumu na ndo maana maendeleo Mwafrika. mtayasikia kwenye bomba, Mzungu anawaendesha kwa limoti, anahubiri kingine anatenda kingine.

Mimi nilisoma Japan kuna siku maalum za kwenda kutambika. na kila taasisi sharti waende ikifika zamu yao hata maaskari wanaenda na Japan iko juu kiuchumi. Hebu tafakari vifuko vidogo kwenye makoti na suruwali za mitumba hata bukuta huwa zinabeba nini ! ikaraga baho.
 
Hakuna kitu kama hicho.Hakuna mafanikio yanayotokana na ushirikina
Hii ishu mnayobishana hapa! Binafsi nilikua siiamini sana!

Ila kuna kama wiki mbili zimepita nilikutana na Mzee Fulani mgita wa Bunda huko umri wake kama miaka 81!

Katika kupiga stori alinithibitishia kabisa kama hii dawa ipo!

Aliniambia zipo za aina mbili, ya kuchanganya kwenye maji ya kunywa na nyingine kwenye zizi sijui unafanyeje!

Ni mtaalamu sana wa miti shamba na alinipa na mifano halisi kabisa
 
Sawa mkuu endelea kulala usingizi. Tatizo mnalishwa vitu nanyi mnameza tu bila kujua inaweza kuwa sumu na ndo maana maendeleo Mwafrika. mtayasikia kwenye bomba, Mzungu anawaendesha kwa limoti, anahubiri kingine anatenda kingine. Mimi nilisoma Japan kuna siku maalum za kwenda kutambika. na kila taasisi sharti waende ikifika zamu yao hata maaskari wanaenda na Japan iko juu kiuchumi. Hebu tafakari vifuko vidogo kwenye makoti na suruwali za mitumba hata bukuta huwa zinabeba nini ! ikaraga baho.
Hii kitu IPO aisee haaa kanda ya ziwa
Hii ishu mnayobishana hapa! Binafsi nilikua siiamini sana!

Ila kuna kama wiki mbili zimepita nilikutana na Mzee Fulani mgita wa Bunda huko umri wake kama miaka 81!

Katika kupiga stori alinithibitishia kabisa kama hii dawa ipo!

Aliniambia zipo za aina mbili, ya kuchanganya kwenye maji ya kunywa na nyingine kwenye zizi sijui unafanyeje!

Ni mtaalamu sana wa miti shamba na alinipa na mifano halisi kabisa
 
Hii ishu mnayobishana hapa! Binafsi nilikua siiamini sana!

Ila kuna kama wiki mbili zimepita nilikutana na Mzee Fulani mgita wa Bunda huko umri wake kama miaka 81!

Katika kupiga stori alinithibitishia kabisa kama hii dawa ipo!

Aliniambia zipo za aina mbili, ya kuchanganya kwenye maji ya kunywa na nyingine kwenye zizi sijui unafanyeje!

Ni mtaalamu sana wa miti shamba na alinipa na mifano halisi kabisa
Kekundu
 
Back
Top Bottom