daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,342
- 3,229
Ubao wa special code bado unasomeka 0-0
Mkuu huoni kama kuna tatizo, hata mawasiliano yamekuwa magumu toka juzi vijana waliambiwa kuhusu hizo code hadi sasa saa 7 mchana hakuna aliyepata. TCU wanasema mwisho ni kabla ya tarehe 5/9 (yaani tarehe 4 saa 5.59 usiku). Vyuo vingi mpaka sasa hawajatoa list ya nani amechaguliwa program gani. TCU Wametangaza round ya pili kufunguliwa 3/9/18 ni wengi hawajui wako kundi gani-yaani wamepata wapi au wamekosa.punguzen wenge vijana kila kitu kitakuwa sawa hata sis kaka zenu tilituliza wenge mambo yakajipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka dakika hii jamaa yangu hajapata hiyo code, wakati ni saa saba za mchana tayari na TCU wako ofisini tangu saa 1.30 asubuhi.Jamani kuna aliyetumiwa hiyo code au ndyo Tanzania zaidi ya ujuavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwongo!!! Suala la confirmation code toka TCU limeanza mwaka huu. Mwaka jana ilikuwa unaconfirm chuoni bila kutumia kodi.punguzen wenge vijana kila kitu kitakuwa sawa hata sis kaka zenu tilituliza wenge mambo yakajipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana Haki kuhoji maana Ni wakat Wao Kama wewe ulivyopitia although haiulikani Kama Leo ndo muafaka waopunguzen wenge vijana kila kitu kitakuwa sawa hata sis kaka zenu tilituliza wenge mambo yakajipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Round ya pili itafunguliwa tarehe 6 ndio maana deadline ya confirmation ni tarehe 5. Vumilieni tuMkuu huoni kama kuna tatizo, hata mawasiliano yamekuwa magumu toka juzi vijana waliambiwa kuhusu hizo code hadi sasa saa 7 mchana hakuna aliyepata. TCU wanasema mwisho ni kabla ya tarehe 5/9 (yaani tarehe 4 saa 5.59 usiku). Vyuo vingi mpaka sasa hawajatoa list ya nani amechaguliwa program gani. TCU Wametangaza round ya pili kufunguliwa 3/9/18 ni wengi hawajui wako kundi gani-yaani wamepata wapi au wamekosa.
Almanac yao inasema 3/9/2018. Na nimecheck SUA ni hivyo hivyo lakini kuna tangazo linasema 6/9. Ndio maana nasema wanachanganya waombaji.Round ya pili itafunguliwa tarehe 6 ndio maana deadline ya confirmation ni tarehe 5. Vumilieni tu
Sent using Jamii Forums mobile app
wameupdate almanac kaka,sio tareh 3 tena bali ni tareh 6Almanac yao inasema 3/9/2018. Na nimecheck SUA ni hivyo hivyo lakini kuna tangazo linasema 6/9. Ndio maana nasema wanachanganya waombaji.
Yeah ni kweli wanachanganya lakini katika ile ALMANAC waliyotoa trh 31 mambo yamebadilika kabisa.Almanac yao inasema 3/9/2018. Na nimecheck SUA ni hivyo hivyo lakini kuna tangazo linasema 6/9. Ndio maana nasema wanachanganya waombaji.
Sema hawa nao wamekuwa kama RITA kipindi cha uhakiki. Hawafuati utaratibu walio jiwekea wenyewewameupdate almanac kaka,sio tareh 3 tena bali ni tareh 6
kazi kwelikweliSema hawa nao wamekuwa kama RITA kipindi cha uhakiki. Hawafuati utaratibu walio jiwekea wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app