Mwongozo juu matumizi ya "Loud Speakers" kwenye Nyumba za Ibada katikati Makazi ya raia

mimi sipendi kelele za baa na misikiti( kwa kuwa wanaongea kiarabu), nyingine napenda.
 
mimi sipendi kelele za baa na misikiti( kwa kuwa wanaongea kiarabu), nyingine napenda.

Zote ni kelele bila kujali zinatoka misikitini,makanisani na nyumba za starehe. Lazima serikali ichukue hatua ktk miji yetu imekua shida sana kulala kwa utulivu.
 
Tatizo ni UBINAFSI wa WATANZANIA.
  • Watanzania tumekuwa wabinafsi sana, hatuheshimiani kwa misingi ya ukomo wa uhuru wa kila mmoja kufanya mambo yake. Nchi hii haina dini wala dhehebu hilo linasisitizwa kila siku na serikali LAKINI mtanzania akiwa muumini wa dini/dhehebu fulani anaona yeye ni bora kuliko mwingine, yuko tayari kulazimisha hata wasio waumini wenzake wafuatilie ibada zake kwa kuweka vipaza sauti kila kona ya MSIKITI/KANISA, sio vibaya sana LAKINI punguzeni basi sauti ili watanzania wengine wasio wa imani yako waishi kwa utulivu. MBAYA ZAIDI inaonekana wanaishiwa CONTENT kutoka kwenye VITABU VYAO VITUKUFU badala yake wanaanza KUPONDA na KUDHARAU Imani za wengine. HUO NI UBINAFSI NA KUKOSA BUSARA YA KIMUNGU. Waswahili wanasema DEBE TUPU HALIACHI KUTIKA
  • Ubinafsi mwingine unajidhihirisha katika maisha yetu ya kila siku, majumbani, kwenye vyombo vya usafiri, maofisini, na hata kwenye kumbi za starehe. Majumbani hasa nyumba za kupanga mtu anaweza kufungua radio hadi sauti ya mwisho hadi kero kwa wapangaji wengine ambao nao pia wana redio; kwenye nyumba binafsi tatizo hilo linajitokeza hasa kunapokuwa na sherehe mziki wa disco unakesha bila kujali majirani na watoto wachanga. Kwenye vyombo vya usafiri ndio usiseme dreva na konda hawaambiwe kitu kwenye swala la redio (kaswida/kwaya/bongo flavour sauti ya mwisho); maofisini mtu anaweka kwaya/kaswida kwenye computer ama simu yake sauti ya juu wengine hamna haki ni kufuata tu utaratibu wake; kumbi za starehe zinaanzishwa kwenye makazi ya watu lengo kujipatia kipato bila kujali wakazi wa eneo hilo.
SERIKALI NI NANI?

  • Serikali ni watu ambao nao pia NI WABINAFSI ubinafsi wao unaanzia kwenye FAMILIA zao, IMANI zao, VIPATO vyao
  • Kiongozi anatoka kwenye familia, yeye ndiye anayefungulia radio hadi sauti ya mwisho; ni kiongozi huyo huyo anayedharau imani ya mtu mwingine kwa kusali kwa sauti na kuponda imani zingine; ni kiongozi huyo huyo anaanzisha BAA ama UKUMBI WA STAREHE kwenye makazi ya watu, ni kiongozi huyo huyo ambaye akimfanyia mwanae KIPAIMARA jamii nzima inayomzunguka inabidi ikeshe.
MALALAMIKO KWA SERIKALI HAYANA MSINGI IWAPO WATANZANIA SISI WENYEWE TUSIPOBADILIKA KWA KUPEANA ELIMU JUU YA MADHARA YA UBINAFSI KWA JAMII NA KWA TAIFA KWA UJUMLA.
 
Kenge nyiee kila mtu anauhuru kama unakaa kimya nyumbani kwako tulia na uboya wako, Wanao kesha baa waache wanywe nchi yetu inaendeshwa na pato la pombe, Waislamu waacheni ndo wanamwabudu Mungu HATA Wakristo muwaacheni wakeshe usiku haijari wanakaaje kanisani. Wekama hukeshi niliboya tuu hunalolote.

.., hapa JF kumtambua mdau uwelewa wake wa mambo na akili zake, kama yeye ni Great thinkers ni rahisi sana...
 
Kuna tatizo kubwa sana la viongozi wetu kuwaogopa (kuwaheshimu??) viongozi wa dini kupita kiasi. Na matokeo yake viongozi wa dini wasio waaminifu hutumia upenyo huu kuvunja sheria wakijificha kwenye kivuli cha dini. Ndio maana wajanja wanatumia dini kufanya mishe mishe zao.

Pia kuna rushwa kubwa kwa watu wa manispaa na polisi. Wamiliki wengi wa baa wanavunja sheria za biashara ya bar ikiwemo makelele ya muziki, kuzidisha muda wa kufunga n.k. lakini kwa kuwa wanakula vizuri na watu wa manispaa na polisi basi hawachukuliwi hatua zozote. Mfano zile defender za polisi doria, huwa kuna baadhi ya bar zao wakipita wanasanya cha juu wanaondoka zao. Ni kawaida sana.
 
Mtaani kwetu wezi wanatumia fursa hiyo kufanya yao a kutogundulika kirahici kutokana na makelele ya bar na makanisan.

Ni vema kuwe na mikesha maalumu inayotambulika kitaifa na ulinzi uimarishwe na pia sheria ya kuanzisha makanisa ipitiwe upya coz kila mtu anataka kuanzisha ni wakati wa kuwaondolea misamaha ya kodi
Izi baar ziwe na kikiomo watu wafanye kazi ni aibu kwa taifa kukutana na walevi asubuh.
Ni hayo tu Mh.
 
Tena kama hivi vikanisa vidogo vidogo utakuta vina waumini sita vinanikera sana. Ukiuliza unaambiwa eti aliye anzisha hili kanisa, alidhulumiwa na mwenzake akaamua kuanzisha kanisa lake. Upande wa bar Serikali iangalie upya. Ukiangalia upande wa majirani zetu wa Kenya, asubuhi bar zimefungwa Tanzania saa 12 asubuhi siko wazi na watu wana kunywa. Inasikitisha sana.
 
Mtaani kwetu wezi wanatumia fursa hiyo kufanya yao a kutogundulika kirahici kutokana na makelele ya bar na makanisan.

Ni vema kuwe na mikesha maalumu inayotambulika kitaifa na ulinzi uimarishwe na pia sheria ya kuanzisha makanisa ipitiwe upya coz kila mtu anataka kuanzisha ni wakati wa kuwaondolea misamaha ya kodi
Izi baar ziwe na kikiomo watu wafanye kazi ni aibu kwa taifa kukutana na walevi asubuh.
Ni hayo tu Mh.

Baar ndo kitu gani?

Kama ulimaanisha bar unapoteza muda wako kushauri ujinga. Hii nchi inaendeshwa na wanywaji. Pombe inaliingizia Taifa hela nyingi. Mtushukuru sana sisi wanywaji na mkome kutufuatilia kwenye mambo yetu.

Kwenye imani za kidini.... Serikali haina dini na wananchi wote wamepewa uhuru wa kuabudu. Mwisho wa siku utaleta migogoro ya kidini tu. Wengine watasema kengele za makanisani zipigwe marufuku... wengine watasema adhana zina waboa....et el. Hili pia umeshauri ujinga.
 
Mtaani kwetu wezi wanatumia fursa hiyo kufanya yao a kutogundulika kirahici kutokana na makelele ya bar na makanisan.

Ni vema kuwe na mikesha maalumu inayotambulika kitaifa na ulinzi uimarishwe na pia sheria ya kuanzisha makanisa ipitiwe upya coz kila mtu anataka kuanzisha ni wakati wa kuwaondolea misamaha ya kodi
Izi baar ziwe na kikiomo watu wafanye kazi ni aibu kwa taifa kukutana na walevi asubuh.
Ni hayo tu Mh.

Naunga mkono hoja. Taifa hili limekuwa fujo tupu kila kona kanisa na matarumbeta usiku kucha. Hivi hakuna sheria ya makelele? Huwezi kuta vitu kama hivi nchi zilizoendelea eti kwa kusali kwako unakwaza wengine wasilale usingizi. Mimi mkristo lakini siamini katika fujo, kelele na kuwa kero kwa wengine. Jamani makelele ni meeeeengi mno. Kama na wengine wanahusika basi sitaji wote ila wajue tunakerwa.
 
Wacha mpigwe Injili tu...ndiyo!! Mana hakuna namna nyingine,sabbu imeandikwa ...dakika za mwisho Injili itahubiriwa sehemu zote...kwa namna zote,iwe kwa hila ama la!!!Neno la Mungu ni upanga ukatao kuwili,namimi nasema mfyekwe tu...Hamzisemei gesti na bubu zilizo tapakaa mitaani na madanguro ya mitaani inayofanya uchafu wa kila aina,lkn makanisa ndio mmeyaona...najua si kosa lenu bali ni Neno limewachoma....HAKUNA CHA SHERIA HAPA WACHA INJILI IHUBIRIWE HUTAKI ACHA...ANDAMANA.
 
Hilo la madhehebu ya dini ni lakuzingatiwa zaidi!
Manake watu wanafanya vitu vya ajabu kwa kisingizio cha dini
 
Na hata miskiti wanapiga kelele usiku na mispika yao kwaani si kila mtu anajua muda wake wa kuswali au aweke alarm
Mi naishi karibu na msikiti taarifa ya habari ya saa 2 usiku nisipoangalia bar nyumbani siwezi kwani huwa ni makelele mwanzo mwisho hadi saa 3 usiku.Na jinsi ilivyo sasa hakuna eneo maalumu kwa ajili ya msikiti wala kanisa.Mtu akiwa na hela tu akanunua nyumba mjini anabadili kuwa msikiti ama kanisa
 
Kweli kabisa, na pia Makelele ya makanisa na misikiti usiku na alfajiri havina maana! Mfano misikiti ya magomeni, mwembechai na bugurun ni kero! Pia makanisa ya kinondoni , ubungo ni kero za usiku!
Bar ndo usiseme! Ivi inakuwaje kama pale Biafra saa 1 asubuhi disco liko juu na malaya wamejana uchi pale road? Sinza nzima bar tupu ...alaf na hii Biashara ya kuuza uchi idhibitiwe! Ikiwezekana wapewe hotel maalum na walipe kodi. Shida ya nchi hii inajifanya haitambui hii Biashara wakati mabinti tena wengi ikifika saa 12 jioni dar nzima wanavaa vyupi na hata kudiriki kuzuia magari kama trafiki wakilazmisha tununue ngono. Tembelea magomen mapipa, bugurun, sinza , hongera bar ambious , beach , Ohio , mbagala nk nk uone hii non taxed service ilivokua na kukomaa kitaifa na kimataifa!
Ni wakati wa serikali kuchukua kodi...ndio. Kwani mnaona aibu gani ? Pombe na sigara ambavo ni haramu mbona tuna tax?

Tubadilike ! Magufuli change our nation!
 
Baar ndo kitu gani?

Kama ulimaanisha bar unapoteza muda wako kushauri ujinga. Hii nchi inaendeshwa na wanywaji. Pombe inaliingizia Taifa hela nyingi. Mtushukuru sana sisi wanywaji na mkome kutufuatilia kwenye mambo yetu.

Kwenye imani za kidini.... Serikali haina dini na wananchi wote wamepewa uhuru wa kuabudu. Mwisho wa siku utaleta migogoro ya kidini tu. Wengine watasema kengele za makanisani zipigwe marufuku... wengine watasema adhana zina waboa....et el. Hili pia umeshauri ujinga.

Unywaji ni Shida kumbe, mkuu umekuwa mkali baada ya kuona starehe inataka kuharibiwa
 
Mh.Rais.Dkt.Magufuli adhibiti pia michango ya harusi.Watu wachangiane katika mambo ya kimaendeleo kama ujenzi wa nyumba na elimu.
 
Pia asisahau kuwatimua watoto wa vihoho bot foreign tra na kwengineko.
Wamewekwa huko ndo maana kazi zina zotota hamna kitu kichwani nchi haendi ..bot wanapiga domo tu hawaguswi.
Ili kuondoa unafiki basi kazi ziwe huru bila ya kujali dini , rangi ..kigezo kiwe elimu na uwezo wa mtu....bila ya hili nalo basi ni kutupaka siagi tu
 
Halafu ww unaeanza Chokochoko za kutufuatilia cc wanywaji uache kabisaa!,kwanza ww ni mchochezi na mleta mfarakano.
 
Back
Top Bottom