rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Kuna tatizo kubwa katika kuteau wagombeaji,ieleweke wazi kuna watu wazuri wenye uwezo wa kugombea na kushinda lakini hawajitokezi,sababu haijulikani bado,ni wazi vilevile watu wanachagua mtu na sio chama,ccm walijitahidi kuteua watu wanaokubalika,hilo ndio tatizo kubwa