hawa wanaojifanya wadada wa mjini kazi kweli kweli, wawe wanavaa kutokana na maumbo yao jamani, sasa ndio nini hiyo aliyovaa na hayo manyama ya mapaja, pweehh, halafu haka bado kashamba tu na hayo mabangili yake mkononi sijui anayo ya rangi zote.
hawa wanaojifanya wadada wa mjini kazi kweli kweli, wawe wanavaa kutokana na maumbo yao jamani, sasa ndio nini hiyo aliyovaa na hayo manyama ya mapaja, pweehh, halafu haka bado kashamba tu na hayo mabangili yake mkononi sijui anayo ya rangi zote.