Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
toto hili lilikuaga tamu kweliii..................................!
We ndo Juma Nature nini?
toto hili lilikuaga tamu kweliii..................................!
Pigia mstari jibu.Yaani kwa kifupi ndo kusema kwamba huyu mdada atamfisango Okwi?
nyamayao,,,,wewe si Nyamayao wa KAOLE MTOTO WA MUHOGO MCHUNGU
hawa wanaojifanya wadada wa mjini kazi kweli kweli, wawe wanavaa kutokana na maumbo yao jamani, sasa ndio nini hiyo aliyovaa na hayo manyama ya mapaja, pweehh, halafu haka bado kashamba tu na hayo mabangili yake mkononi sijui anayo ya rangi zote.
pelekeni kwa wauza chuma chakavu. " mtu huyu kawa too much used"
Uende salama Betty..urudi salama Betty. Mzigo uliomshinda sir Nature mtoto wa Bi kiroboto.
magari used,nyumba used,simu used,computer used na mademu pia used ingawa nani hiiiiiiiiiiiiiiiii haina makombo!