Mwl.wa kemia nipo hapa

Mwl.wa kemia nipo hapa

Hyo cyo education Mbona unaingilia fani za watu.
Hapana mkuu,sio kama naingilia but nipo na widen brain katika fani zote hizo by profession pia hat uzoefu,so naweza kufundisha na si kwa sababu ni mkemia tu ko huko education siwezi,sema fani nilosomea ni hiyo ya ukemia ila niko vzuro katik masuala ya teaching
 
Ndugu, anamaanisha andika vizuri kuonesha kwamba ni graduate mtarajiwa kama ambavyo umeandika BSc. Chemistry kwa Mara ya pili, utakuwa hujamwelewa tu.
Yap hata mim nilimwelewa hivo mkuu,sema nimejibu kwa njia tofauti kidgo ni makosa tuu.but thanks alot for your advice too
 
Sahih mno mkuu, Ze Heby umejibu kwani si walosomea hiyo fani ndio wanaweza kuimaster vizur hapana bali ni inategemeana na mtu,kwani kuna watu ambao ni multipurpose au wanauwezo wa kusaidia hat nje ya professions zao kam mim.
 
Habari wakuu.....mim ni mkemia nipo hapa kwa ajili ya kuitumia taaluma yangu ya ukemia na uwezo wangu wa kufundisha mim ni mwanafunz wa chuo mwaka wa 2 naenda course ya b.chem lakini pia niko na uzoefu wa kufundisha shule za sekondari takribani miezi 7 na nimefundisha shule tofauti nikiwa mkoani Mbeya nilipomaliza kidato cha sita na nikiwa likizo kipind hiki nipo chuo.lakini kwa sasa nipo likizo mkoani Iringa-iringa mjini hivo naomba kuwa temporary teacher katika shule yoyote ya sekondari hapa mjini kwa muda wa mwezi mmoja na nusu au tution centre yoyote inayohitaji mwalimu wa kemia.
Nawasilisha wakuu....Tujenge pamoja taifa.
Umesajiliwa na baraza la wakemia na kupewa leseni ya professional chemist?
 
Back
Top Bottom