Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,461
- 12,340
Nilikua naskiliza hotuba ya Nyerere ITV kuhusu ubaguzi wa rangi, makabila, na udini, mzee alikua kichwa sana, haya ya udini alishayaona na ndo hayo yanayotokea, kuna watu (waislamu/wakristo) wanataka nchi iwe ya kwao ni WAJINGA.