Emmathias kasema
Senior Member
- Jan 29, 2018
- 111
- 101
Katika maisha ya kusoma tulipitia Changamoto nyingi sana hasa kwa masomo ya sayansi, kukosa walimu au mwalimu kushindwa kulimdu somo vizuri.
Hapo mwanza kuna mwalimu anaitwa Mwl Michael (Mnyama), ni Mwl ambaye amesaidia vijana wengi sana kufaulu masomo ya hesabu na physics. Huyu Mwl ni mkali wa maths na Physics balaaa, historia inaonesha hajawahi kushindwa na swali la hayo masomo, alikuwa akisolve swali likamshinda anavuta sigara kwanza baada ya hapo swali linaisha.
Leo tunajivua kupitia kwa huyu Mwl, pongezi kwake. Anapatikana Mwanza- nyakabungo.
Hapo mwanza kuna mwalimu anaitwa Mwl Michael (Mnyama), ni Mwl ambaye amesaidia vijana wengi sana kufaulu masomo ya hesabu na physics. Huyu Mwl ni mkali wa maths na Physics balaaa, historia inaonesha hajawahi kushindwa na swali la hayo masomo, alikuwa akisolve swali likamshinda anavuta sigara kwanza baada ya hapo swali linaisha.
Leo tunajivua kupitia kwa huyu Mwl, pongezi kwake. Anapatikana Mwanza- nyakabungo.