Mbelwa Germano
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 789
- 289
Unapomjadili mtu, unajadili anakula nini? anavaa nini? anapenda kinywaji gani n.k, na unakuwa unajenga interpersonal conflicts ambazo zina reside kwenye akili na kunyima uhuru wa fikra kujadili mambo ya kimsingi. Tusijenge mitazamo ya kinafsi bali tujenge mitazamo ya kisomi inayolenga kuleta mapambazuko ya kifikra katika jamii. Tumkumbuke Nyerere kwa kutazama imani na mitazamo inayolenga kuibua fikra za kimaendeleo na sio misuguano ya kibaguzi inayolenga kusambaratisha jamii.