Mwkt UVCCM atangaza kumvaa Mbowe

Mwkt UVCCM atangaza kumvaa Mbowe

Labda alikuwa anajifurahisha mbele ya hadhara Mbowe anakubalika Hai ndo maana 2005 hakugombea lakini baada ya miaka mitano yaani 2010 karudi kugombea akapasua sasa hiyo Toto ya Nasary School iliyoshiba uji inataka kuwa na njaa!!!
 
Pale hata munisi hana haja ya kutumia nguvu kubwa. Wananchi wameshaujua ulaghai wa mbowe. Na hakuna alichokifanya cha maana jimboni kwake toka apewe ridhaa.

aende kwa Fuya akamuulize kilichomtokea, may be atamwazimisha na mbinu alizoibia kura 2005 .
 
Katika kutangaza nia kwake anadai mapungufu yapi? Maana ukitangaza nia lazima useme na shida baadhi za jimboni ikiwa ni pamoja Mbunge juhama jimbo baada ya kura kuhesabiwa .Huko yeye anasemaje ?
 
Ahahhaahahhahaah liwalo na liwe.
Kwa taarifa za kitaa tu...Mbowe atagombea Arusha town na Kabaang atagombea Hai. Hahahahahahhaahhaahhaha
 
Huyu dogo jinga sana. hana ubavu wa kwenda Hai. kama anataka kuaibishwa kwenye sanduku la kura aende

wewe umebeba tu nazi hapo juu haikusaidii unaishia kutumika kama ile mipira ya kuchezea usiku. Hakuna mtu mwenye hati miliki na jimbo lolote hapa tz
 
Martin Munisi mwenyekiti UVCCM Arusha ametangaza kumvaa Mbowe jimbo la Hai nipo mkutano hapa Arusha

UYU MARTIN MUNISI SIO MSUKULE KWELI? UYU SI AMEJIUA KTK SAKATA LA MAPENZI PALE ILALA?

JAMANI UVCCM IMEJAA MISUKULE TUPU AKYANANi
 
Martin Munisi mwenyekiti UVCCM Arusha ametangaza kumvaa Mbowe jimbo la Hai nipo mkutano hapa Arusha

Asubirie kwenza kura za maoni z chichiem! Kutangaza ni hatua moja, alishawahi kufikiria kuwa hata ukiwa wa kwanza kwenye kura za maoni, ccm wanampitisha hata asiyekubalika kwa kigezo chama kina wenyewe?
 
Back
Top Bottom