Mwkt UVCCM atangaza kumvaa Mbowe

Mwkt UVCCM atangaza kumvaa Mbowe

Huyu mjinga huyu mboe unamjua unasikia au unajioshea tu wewe ni dogo kwenye siasa labda umvae umwombe hela yakula maana unanjaa wacha ushamba rais waziri mkuu spika wabunge serikali licha ya wewe kibaraka wewe saizi yako ni mwenyekiti wa shina labda wewe mmeutubia mkutano wa leo levolosi mku 21 kama mkutano wa boma mmemshindwa jembe lema mnaanya anya hai kajipange upya wewe
 
Tunamkaribisha tu kijana, ndio uzuri wa demokrasia, Chadema ni waumini wa demokrasia safi
 
ni sawa na kulinganisha mfereji na mto.munis ni mfereji mbowe ni mto
 
Atasemaje anataka kumvaa Mbowe wakati Chadema haijafanya uteuzi wa mgombea jimbo hilo? Chadema inao utaratibu wake wa uteuzi na hata Mbowe hajatamka kuwa anataka kutetea jimbo hilo.
Chadema yaweza kuteua mtu yeyote maana inao wengi walio bora. Hata Chakaza akisimamishwa hapo hakuna wa kucheza nae huo muziki even Kinana mwenyewe. Chezea makamanda wewe!
 
Last edited by a moderator:
Pale hata munisi hana haja ya kutumia nguvu kubwa. Wananchi wameshaujua ulaghai wa mbowe. Na hakuna alichokifanya cha maana jimboni kwake toka apewe ridhaa.

We kweli msalani!! Najaribu kutafakari tu...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nani kamdanganya kuwa Hai wanawataka wezi au ni kale Ka ziara ka Kinana ndo kana mdanganya?
 
Kweli Arusha ni kitovu cha siasa Tanzania. Mtu yupo Kilombero sokoni anatangaza kwenda Hai hahahaaaa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
achilia mbali ushabiki wa vyama, nililoliona 2010 nikiwa hai wakat wa uchaguzi transition period toka ccm kuingia cdm, no way ccm wanaezashinda hai, labda chama kingne. Bora CUF, NCCR au TLP, sio ccm
 
Pale hata munisi hana haja ya kutumia nguvu kubwa. Wananchi wameshaujua ulaghai wa mbowe. Na hakuna alichokifanya cha maana jimboni kwake toka apewe ridhaa.
dah!kumbe ccm napo wachagga wapo?????....tena uvccm arusha???
ngumu kumeza.....kwikwikwi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Technique ya kumsupport Mgombea dhaifu, ili mgombea mwenye nguvu kidogo apite kiulaini!. hamna chochote hapo ni drama tu
 
Back
Top Bottom