Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,978
- 5,295
- Thread starter
- #21
Upuuzi tuSheria duniani haki mbinguni
Upuuzi tuSheria duniani haki mbinguni
Huko mbali mkuuRais ke
Spika ke
Waziri wa ulinzi ke
Waziri wa nje ke
Tamisemi ke
Wizara ya wanawake
Tutakoma mwaka huu
HahahHii comment yako haikuwa na umuhimu kabisa wala
Mungu wangu, kumbe zipo mpaka sumu za hivyo?Wanaume wanalilia tumboni ndo maana wanawahi kufa mapema kuliko wanawake.
Mwanamke akishapata watoto na mali mwanaume ni takataka tu asipoanza chokochoko,atakuwekea sumu ufe polepole.
Moyo wangu hapo umeshtuka sana. Kumbe kule kunyenyekea kabla ya kupata watoto pamoja na mali, huwa ni unafiki eeh? Rangi halisi utaziona ukipata mali na watoto wakikua?Wanaume wanalilia tumboni ndo maana wanawahi kufa mapema kuliko wanawake.
Mwanamke akishapata watoto na mali mwanaume ni takataka tu asipoanza chokochoko,atakuwekea sumu ufe polepole.
Lakini usiamini hivyo ishi kwa imani kwa wangu hawezi.Kuishi ni faida kifo ni faida pia.Mungu wangu, kumbe zipo mpaka sumu za hivyo?
Malofa ninyi(in Mkapa's voice).Mbona wanaume huku kilimanjaro tunapigwa tu ngumi na wake zetu
Hutakiwi kuenenda kama wengi wanavyoenenda!Siku mom wanawake wanaitwa Chief.
Dunia iko kasi
Umeshanifumbua macho aisee!Lakini usiamini hivyo ishi kwa imani kwa wangu hawezi.Kuishi ni faida kifo ni faida pia.
Feminist ni wapumbavu sanaJuzi kati kuna clip ilisambaa sana mitandaoni, mimi si mtumiaji sana wa mitandao mingine ukitoa JF na tweeter. Nilibahatika kuperuzi Facebook kupitia simu ya mke wangu, nikakuta clip ya jamaa(tapeli) akipigwa mno.
Waliokuwa wanampiga ni mke na wanaume baadhi, nafikiri walim track na kumuita aende. Jamaa anaweka mikono usoni ila mwanamke anamtukana matusi ya nguoni(kiungo cha kutolea mtoto), huku wengine wanampiga mikanda.
Nilishawahi kuona clip moja kama hii, ila ilikuwa ya mwizi wa kike(si tapeli), hakupigwa ila alirekodiwa tu akihojiwa kwa nini aliiba. Duuh! Week moja mbele vyombo vya sheria na NGO's zilipiga mno kelele kuwa yule Ustaadh aliyemkamata na kurekodi, afungwe.
Nilijifunza kitu kikubwa mno, hatupo sehemu salama. Kila siku mwanaume anazidi kukandamizwa sana, na sadly baadhi ya wanaume wanaungana na akina mama kuwakandamiza wenzao, na wanafurahia hili.
Huzuni mno!!