Mwita Waitara unajidhalilisha

Cjakuelewa unamaanisha lisu alipanga hilo tukio ye mwenyewe?

Nadhani uchunguzi ungeanzia kwenye zile cctv ambazo haijulikani nani aliziondoa pamoja na wale askari wanaokuwa lindo

So far kwa mtiririko wa tukio zima lilivyofanyka inaonesha kabisa kulikuwa na mkono wa serikali kwenye hili tukio

Na kuhusu mission kutokamilika hii inatokea hta kwa majasusi wa kiwango cha dunia
Kumbuka hta carlos the jackal kuna mission alishindwa kufanikisha lengo
 
Sssa unataka akirudi awe ananijificha nyuma ya Fatuma Karume?!..ushauri niliotoa ni mzuri.
 
Cjakuelewa ina maana lisu alipanga hilo tukio ye mwwnyewe au? Nadhani tungeanza uchunguzi wetu na zile cctv camera na wale askari wanaokuwaga lindo kila siku

Tuanzie hapo kwanza!
Mambo ya CCTV cameras and hizo blah blah kwangu hata sizipi nafasi Sana sababu hata sijui kama kwel zilikuwepo maanake anayetuhumu Ni mwanasiasa na tukio Zima liko kisiasa zaidi.
 
Mambo ya CCTV cameras and hizo blah blah kwangu hata sizipi nafasi Sana sababu hata sijui kama kwel zilikuwepo maanake anayetuhumu Ni mwanasiasa na tukio Zima liko kisiasa zaidi.
Km ni blah blah bila shaka serikali wangekanusha. Kitendo cha kukaa kimya tu! Inaonesha kabisa kuna kitu hakipo sawa!! Na vipi wale askari wanaokuwaga lindo kila siku kwa mh naibu spika walikuwa wapi siku hyo?
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Aisee! umemtaja Mungu hapo juu,DAAHH!!!.usiwe mjinga hivo barbarosa,simamia ukweli.
 
Km ni blah blah bila shaka serikali wangekanusha. Kitendo cha kukaa kimya tu! Inaonesha kabisa kuna kitu hakipo sawa!! Na vipi wale askari wanaokuwaga lindo kila siku kwa mh naibu spika walikuwa wapi siku hyo?
Hamtak jesh liendeshwe kisiasa mnataka litoe majib kisiasa utanijib kimanufaa yakisiasa
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Ni kwanini basi nyingi watu wa Lumumba mnajua kuwa ile ilikuwa inside job ya wanaChadema, ni kwanini mmegoma kuleta wachunguzi toka nje??

Si mnahofia kuwa mtaumbuka??

Kama Lissu mwenyewe alivyosema sooner or later, ni lazima wauaji wale watakuwa exposed na dunia itawajua!
 
Kama wanashangaa na wanmtuhumu dereva wake wanashindwa nn kumkamata kwa nn waendelee kulalamika INA maana serikali haina uwezo wa kutulinda RAIA wake kama ilivyoapa? Kwa nini wasijiuzuru? Kwa nini wasiachie ngazi kwa kushindwa kazi walizoomba?
 
Mwita waitara ni Limbukeni mshamba fulani, huo ujinga wake aliouanza Laana ya maumivu toka kwa Lisu vitamnasa tu.kwani kumkejeli mgonjwa ni Laana kubwa
 
Na wewe mwongo! Hivi kulaza kiti cha mbele na kugeuka ukalaza tumbo huku ukikabiliwa na washambuliaji itakuchukuwa muda gani? Kumbuka gari alimokuwa Lissu, kiti chake kinalazwa Kwa mwendo Wa pole sana. Kwanini mnataka kutuhadaa? Bado in kitendawili kuumia mguu Wa kulia!
 
Kama una gari huwezi shangaa... Tafuna gari Laza kiti cha abiria afu kilalie kwa tumbo utaona mguu wa kulia utakuwa upande wa mlango
Simple logic
Hii ya kulaza kiti na kukilalia na tumbo ni maelezo mapya! Mwanzo tuliambiwa Dereva alimvutia chini ya kiti! je sasa hii ya tumbo mbona ngeni!
 
Kweli jamaa jinga sana yani sijui linafikiri kwa kutumia masaburi mana akili ya kawaida huwezi ongea mambo kama hivyo. Anadhalilisha
 
Na samahani Mungu nisamehe tu nimpe kidonge waitara na sura yake Kama anakamuliwa jipu Atakuwa mchawi yule siyo bure
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Pimbi kabisa mandazi ww kumbafuuuuuu!!
 
Hili shambulizi walilipanga wenyewe ni inside job chadema na Tundu alikuwa sehemu ya mpango mzima na alijua lkn likaenda ndivyo sivyo yaani Mungu akawaumbua, lkn walitaka wafanye assasination attempt ili waishitumu Serikali yetu!
Haha unahofu ya kuufungwa maisha mtoto wako wa chupa atalelewa naalbert bashite na anaweza kumpa hata mtoto wa pili ukiwa jela kama anamvegu vinginevyo kiama kwa kila alishiriki kusimamia kuamua kutuma na kuelekeza risasi lazima musakwe na polisi wa dunia namuonaje mwenye moyo wa plastic
 


Polisi wa Dunia wasake mtu shauri ya Tundu Lisu? Ninyi viumbe huwa mnajua kujidanganya kama watoto, hivi hii Dunia mnafikiri inamjua Tundu Lisu na kwamba wamekosa kazi wamsikilize huyo ,,mtoto”? Endeleeni kuota!
 
Polisi wa Dunia wasake mtu shauri ya Tundu Lisu? Ninyi viumbe huwa mnajua kujidanganya kama watoto, hivi hii Dunia mnafikiri inamjua Tundu Lisu na kwamba wamekosa kazi wamsikilize huyo ,,mtoto”? Endeleeni kuota!
Sana tu kuna mtu kakamulia mbegu mara mia kapata mtoto wa chupa atalelewa ha ha siku hazigandi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…