aliyetoa idadi ya risasi ni daktari yakupasa uende huko Nairobi kawaulize pia nenda kahesabu matundu ya risasi kwenye gari ya Lisu.
Huyo uliye mjibu ni mnyarwanda hivyo hana uchungu na nchi yetu ndiyo maana anaongea chochoteLeo hutaona madhara, athari yake utaiona miaka kadhaa ijayo inawezekana kabla au baada ya awamu hii kutoka madarakani.
Ataenda kuvua samaki kwao musomaMwanzo wa mwisho wake kisiasa
AnasikitishaMwita anaonekana anatatizo la akili wew jaribu kumuangalia utajua huyu mtu si mzima
Uteuzi unamtoa fikranani amfuatilie huyo mwehu? Anaonywa asiendelee kulopoka, ona sasa alitaka kupindisha au kupotosha watu juu ya shambulio la lissu, watu wakamnyooshea maelezo mpaka yamemgusa jiwe! Mwambieni asiendelee kulopoka!
Alishajifia na kipara chakeUmemsahau na Mpendazoe
Umemsahau na katambiLakini ndio wanaotakiwa na awamu hii si umemuona Jerry Muro bado Musiba aendelee kujitoa akili zaidi lbd atafikiriwa.
Nasikia afya ni mgogoro baada ya kukatwa mkiaAlishajifia na kipara chake
kuna kitu fikirishi hapa inakuaje matundu ya risasi yaonekane kwa nje ya body la garikama alipigwa risasi na dereva wakeSasa kwani akisema hayo anaongopa?
Si ilikuwa hivyo au mna jipya la kutaka kutudanganya..
Kazi ya ndani ya chadema hiyo labda hata anahusika kwa jinsi anavyoendelea kupayuka ovyo huko aliko majuu.
Dereva wake anakua yote na bastora aliishika pia.. lazima.. na wakuu wenu wanajua zaidi.. msituletee hya malizaneni huko mshitakiane mfungwe
Vijicho,husda,maombi ya nuksi dhidi ya viongozi na wanachama wa CCM..haswa vinatoka chadema bila kumumunya maneno.Kumbe gari ya Kigwangala nayo imepinduliwa na wapinzani au dereva alikuwa Chadema.
Ajali ya Kugwangwala inahusianaje na wapinzani man?Mungu wuepushe Waitara na Kigwangala na jicho la husuda kutoka upinzani.
Uteuzi unamtia kifafa cha akiliSidhani kama kuna mtu anaweza kuumizwa na Waitara. Waitara bila shaka ana tatizo la akili. Mtu mwenye akili timamu hawezi kuropoka kwa kiwango kile.
kumbuka mpiga Risasi alipiga kwa pupa na kwa kasi kubwa na nyingi zilipunguzwa makali na bodi ya gari pia malaika wa Lisu alipangua baadhi ndipo akamuokoa kufa, vigezo vyako kaa navyo moyoni usiongee mbele za watu wenye Akili watakucheka moyoni kama si live endapo watakuwa wanakuogopa au kukuonea Aibu.Ingelikuwa ni kweli angelibadilika akawa chujio la chai.
Wapinzani na dua zao za nuksi hiyo ajali wanachekea tumboni.Ajali ya Kugwangwala inahusianaje na wapinzani man?
Daktari wa hospital ya Dodoma pia muuluzeWalisema idadi ya risasi kabla hata Tundu Lisu hajafika Nairobi, Mbowe alitaja idadi!
Daktari wa hospital ya Dodoma pia muuluze
Wanadanganywa na kutiwa pepo inaitwa over confidence na kujikuta wanaropoka tu bila kuchuja kabla ya kutamkaKuna tatizo kubwa la kiuwezo kwa upande wa CCM. Sijui kama linatokana na uwezo mdogo wa wahusika au wahusika wanashindwa kupata cha kuongea wakati wanalazimishwa kuongea. Ukimsikiliza Waitata, ukimsikiliza Mwenyekiti wa UVCCM, wote kwa kauli zao zinaashiria kupungukiwa.
AmejipinduaKumbe gari ya Kigwangala nayo imepinduliwa na wapinzani au dereva alikuwa Chadema.
Wewe unaijua SMG wewe?! hicho ki Kitchen foil kingezuia high caliber weapon..usilete srory za malaika wa Ikungi hapa.nyingi zilipunguzwa makali na bodi ya gari