Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,015
Kwako bwana Mwikwabwe Mwita, kiranja mkuu wa Azania zamani, mwenyekiti wa kitivo cha sayansi UDSM zamani, Rais wa DARUSO zamani, mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa TANGA zamani, mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa kivule CHADEMA zamani. Mbunge wa ukonga CHADEMA zamani, mbunge wa Ukonga CCM na sasa wa Tarime CCM.
Nimetaja vyeo vyako vyote kwanza kuonesha namna ulivyokuwa mchumia tumbo, usiye na msimamo na mwepesi wa kubadilika kama jiwe la chumvi nakufamu tangu utoto. Sijakujulia ukubwani.
Jana ulionekana kulia dunia nzima ikikuangalia ulitafuta huruma hutaipata.
Watu walikuchangia pesa kule Ukonga 2015 ili uwe mbunge wao (hukua na kitu kapuku) kuja kustuka upo ofisi za LUMUMBA ati umerudi nyumbani? Ile laana haitakuacha salama kaka.
Ukahonga tena pesa ili urudi kuwa mbunge wa Ukonga [vitambulisho vilinunuliwa ili watu wasiende kupiga kura, naweza kuthibitisha)
Umeenda Tarime tunajua yaliyotokea 2020. Mwita unailalamikia Serikali ya CCM ileile uliyoiunga mkono na kurudi nyumbani?
Acha ghiriba za kisiasa ndugu waziri wa zamani
Dunia haina huruma na wewe. Wewe ni msaliti wa umma.
----
Pia soma > Mbunge Mwita Waitara amwaga machozi mbele ya Wanahabari
Nimetaja vyeo vyako vyote kwanza kuonesha namna ulivyokuwa mchumia tumbo, usiye na msimamo na mwepesi wa kubadilika kama jiwe la chumvi nakufamu tangu utoto. Sijakujulia ukubwani.
Jana ulionekana kulia dunia nzima ikikuangalia ulitafuta huruma hutaipata.
Watu walikuchangia pesa kule Ukonga 2015 ili uwe mbunge wao (hukua na kitu kapuku) kuja kustuka upo ofisi za LUMUMBA ati umerudi nyumbani? Ile laana haitakuacha salama kaka.
Ukahonga tena pesa ili urudi kuwa mbunge wa Ukonga [vitambulisho vilinunuliwa ili watu wasiende kupiga kura, naweza kuthibitisha)
Umeenda Tarime tunajua yaliyotokea 2020. Mwita unailalamikia Serikali ya CCM ileile uliyoiunga mkono na kurudi nyumbani?
Acha ghiriba za kisiasa ndugu waziri wa zamani
Dunia haina huruma na wewe. Wewe ni msaliti wa umma.
----
Pia soma > Mbunge Mwita Waitara amwaga machozi mbele ya Wanahabari