Mwisho wa Daudi Ballali

Upuuzi mtupu tutafanyana wajinga hadi lini?
Kwani kuwepo kwa kaburi lililoandikwa Ballali haimaanishi aliyezikwa humo ni yeye, kwa hili mnatufanya tuhisi kuna uchafu mwingi alifanya ambao serikari imeukalia . imeendelea

Tuko pamoja mkuu, huyo aliyeona kaburi ana uhakika gani kwamba kilichoko humo ndani ni mabaki ya mwili wa Balalli? Yaani jina tu juu ya kaburi ndio uthibitisho tosha kwamba Balali alizikwa hapo bila Watanzania wanwoishi huko kushuhudia? Kwa nini Watanzania wanaoishi huko hawakupewa nafasi ya kuuaga mwili au kuhudhuria mazishi?

Tiba
 
kweli akili ya kuambiwa changanya na yako. kaburi haliwezi kuwa uthibitisho wa mtu kufa.
Eti alitafuta kaburi bila mafanikio siku ya kwanza na ya pili na ya tatu ndipo alipowauliza wanaohusika kuangalia makaburi???? Kwa nini hakufanya hivyo tangu siku ya kwanza!!!!????
 

It takes little intelligence to exhume the hidden agenda - the Balali death conspiracy. Who is interested in the story when, and why? Who planned and paid the cost for journalist's US trip and why? Is the journalist moral behavior above or below questionable integrity? Does Mwananchi have any interest in the story? What is the relationship between parties interested in the story and the newspaper? Something is heating up, and will soon come public.
 

Kwi kwi Kwi kwi eti aliyekufa MSALANI wa Lumumba hahahahahaaa!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwi kwi Kwi kwi eti aliyekufa MSALANI wa Lumumba hahahahahaaa!!!!!

Mkuu nimetoa mfano tuu ili ueleweke. MSALANI tunaye hapa JF anapiga mzigo mwanzo mwisho hana hata mapumziko ya mwisho wa wiki wala likizo anasaka mshiko tuu. Chezea buk7 weye! Ha ha ha


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
mwanajeshi aliyemuuwa sethi fundikira naye tunaambiwa kazikwa na magereza dodoma bila familia kuwepo.

waambie bwana duuuu hongera bwana kwa kusema ukweli

We meandishi kilaza sana eti kisa kaburi lol! Kwenye tamthilia za kikorea, na Kifilipino tunaona makaburi inamaana ni ya kweli?

Balali yupo hai na anaendelea kula bata kama kawaida CCM acheni kutufanya wapumbavu tusiyojuwa kitu.

Mazoea mabaya maana eti hata sokoine alikufa baada ya gari 'kuseleleka' na baadaye kugongana na Dumisani Dube na baadaye Dube kuachiwa na kutokomea SA!
 
Inaonekana huyu mwandishi hata akilikuta kaburi lenye jina lake na picha yake ataamini kuwa alishafariki...!Yani yeye anachohitaji kuthibitisha mauti ni jina halisi tu kwenye kaburi,basi!
 
Picha ya kaburi hujaiona?

Picha ya kabur haimaanishi kama aliezikwa ni David balali au la,hiyo ni kama picha ya kuigiza tu ila balal yupo hai(serikali haikutoa sababu yoyote ya kutokumzika kwao mtu mkubwa kama balal halafu mazishi yake yawe ya siri,msiba gan unaofichwafichwa?


If your not right...go left,,
 
Nisabau zipi zilizoifanya serikali ya magamba kuamua kumzika huko ughaibuni?
 

Machozi yananibubujika ndugu zangu,wapi watumwa wa Lumumba?
 
Last edited by a moderator:
kweli akili ya kuambiwa changanya na yako. kaburi haliwezi kuwa uthibitisho wa mtu kufa.

Kama serikali iliweza kurudisha mabaki ya wanajeshi toka msumbiji na kwenda kuyazika tena pale naliendele Mtwara,basi na mabaki ya gavana yaletwe.
 

Hakuna marefu yasiyo na ncha,na kila lenye mwanzo lina mwisho.
 

ha ulitaka wamfukue aone hizi gongo za slaa ni majanga kwa taifa
 
Ujinga mwingine bana.
Buku7 hebu danganyaneni wenyewe kwa wenyewe.
Mbona mnajishtukia nani kawauliza au mmeona balali ameshachoka maisha ya kujificha sasa mnamtisha ili arudi dark
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…