Mwisho wa Chenge umefika rasmi


TUMSHUKURU SANA MUNGU na WAZUNGU , VINGINEVYO TUNGEKAMULIWA HADI DAMU ! HAWA WATU WANA ROHO MBAYA SIJAPATA KUONA !
 
Anaenda 'likizo' kula mafao yaek, ningeelewa vizuri zaidi kama angechunguzwa kisha kufilisiwa. huu upumbavu 'kuwajibishwa' tu, hautoshi.

Ngoja akale mafao yake vizuri sasa!!
 

Attachments

  • 1417531482760.jpg
    29.8 KB · Views: 412
TUMSHUKURU SANA MUNGU na WAZUNGU , VINGINEVYO TUNGEKAMULIWA HADI DAMU ! HAWA WATU WANA ROHO MBAYA SIJAPATA KUONA !

Mkuu,

Hawa ni watanzania aina ya kipekee. Hawana huruma hata kidogo! Huyu jk sijui anajisikiaje anaposikia wanaume vijini wanazikimbia familia kwa sababu za michango ya maabara!
 
Mkuu,

Hawa ni watanzania aina ya kipekee. Hawana huruma hata kidogo! Huyu jk sijui anajisikiaje anaposikia wanaume vijini wanazikimbia familia kwa sababu za michango ya maabara!
Baada ya kusoma post yako nimejikuta nabubujikwa na machozi !
 
Mtafutie ushahidi wenye mashiko umburute kortini na usimamie kesi hiyo ili hukumu itoke kwa haki
Kuna kila dalili ya chenge kufungwa kabla mwaka huu haujaisha , cheo kimoja kimoja kinamdondoka !
 

unamjua BOLLUSCON yuko wapi leo,kila asubuhi ina jioni
 

Jamani chenge tuonee huruma yatosha sasa baba ...tavala na kerai
 
Mwenzenu navyo muinulia mikono chenge mpaka nahisi kwenye kashfa ya gesi hawezi kukosa
 

Mhhhhh kumbe unatabiri? Mi nilikuwa na shauku kuona Chenge kaishaje kumbe ndio kwaaaanza wewe unatabiri mwisho wake. Hata hivyo system yenu ilivyokuwa mbovu haijamuona na hatia yoyote and hata akiachia vyeo vyote ni mnampa likizo ya kwenda kula alivyochuma. I am sure kwa bilioni zote hizo alizokwapua hata akiachia ngazi haimtishi.
 

Ila mwaka huu tutaichuna
 
Mkuu siku hazigandi............huyu bwana Chenge ndiye Waziri mkuu wa bwana EL kama atapita kuwa Raisi wa Tanzania........ni ajabu sana hawa mafisadi sijui wanawaona waTZ mapoyoyo.....? eti waziri mkuu wa EL ni chenge........!!!!??
 
ni tanzanian ambassador to the netherlands. Yule jamaa hana shida ukifika pale anakupokea vizuri sana.

Kwa kawaida Wahaya siyo mafisadi ..... ndiyo maana Ruge kajitahidi kuwakumbuka this time around. Nenda China ndiyo utajuwa Mafisadi wanabehave vipi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…