Sunshow
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,140
- 391
Unajua kwenye kazi yeyote ile mpira ikiwa mojawapo, licha ya utaalamu, pia uwajibikaji ni kitu muhimu sana.Ahahahaah!! Tumlaumu sasa nani??
Tunahitaji kubadilika kuanzia mtu mmoja mmoja.
Unajua kwenye kazi yeyote ile mpira ikiwa mojawapo, licha ya utaalamu, pia uwajibikaji ni kitu muhimu sana.Ahahahaah!! Tumlaumu sasa nani??
Unategemea nini unapokuwa na wachezaji wavuta bangi? Utavuna bangi!!!
Unajua kwenye kazi yeyote ile mpira ikiwa mojawapo, licha ya utaalamu, pia uwajibikaji ni kitu muhimu sana.
Tunahitaji kubadilika kuanzia mtu mmoja mmoja.
msingizie raisi mwinyi bure. tanzania tumelaaniwa na mungu kwa kulichukia taifa la Israel. wewe chunguza nchi zote zilizomchukia israel, hazina soka zuri, utalii unaporoka na shilingi kushuka thamani. Misri, tunisia na moroco ni mataifa ya kiarabu marafiki wa israel, ona yalivyobarikiwa kisoka.
mataifa yote ya kikomunisti yaliyojiingiza kuichukia israel, hayana kabisaa mafanikio ya kisoka. mataifa ya latin america yaliyoipenda israeli, yana mafaniki mazuri ya kisoka. ghana, cameroon, senegal, ivory cost, zaire, nigeria ni mfano wa mataifa rafiki wa israel, ona yalivyobarikiwa kisoka. kenya ni rafiki wa isrel, ona ilivyobarikiwa katika marathon na utalii .
tanzania inabidi itubu na kurudisha ubalozi wetu nchini israel, nakuhakikishia tutacheza world cup fainali kule brazil.
mungu alimwambia jacob, atakayekupenda na mimi nitampenda na atakaye kulaani na mimi nitamlaani. wachezaji wetu wakienda kutafuta timu kubwa kuajiliwa hawapati ajira.utalii tunao lakini hatufaidiki! madini tunayo lakini hatufaidiki, wachezaji wazuri tunao kama kina ngassa, ulimwengu na samata lakini hatufaidiki! mpende mtoto wa yakobo ili upate heri na mafanikio makubwa ya kiuchumi duniani.
Wewe akili zako sawa na Boban tuu! Lini hao watu wako waliqualify world cup?? Masaburi yako !msingizie raisi mwinyi bure. tanzania tumelaaniwa na mungu kwa kulichukia taifa la Israel. wewe chunguza nchi zote zilizomchukia israel, hazina soka zuri, utalii unaporoka na shilingi kushuka thamani. Misri, tunisia na moroco ni mataifa ya kiarabu marafiki wa israel, ona yalivyobarikiwa kisoka.
mataifa yote ya kikomunisti yaliyojiingiza kuichukia israel, hayana kabisaa mafanikio ya kisoka. mataifa ya latin america yaliyoipenda israeli, yana mafaniki mazuri ya kisoka. ghana, cameroon, senegal, ivory cost, zaire, nigeria ni mfano wa mataifa rafiki wa israel, ona yalivyobarikiwa kisoka. kenya ni rafiki wa isrel, ona ilivyobarikiwa katika marathon na utalii .
tanzania inabidi itubu na kurudisha ubalozi wetu nchini israel, nakuhakikishia tutacheza world cup fainali kule brazil.
mungu alimwambia jacob, atakayekupenda na mimi nitampenda na atakaye kulaani na mimi nitamlaani. wachezaji wetu wakienda kutafuta timu kubwa kuajiliwa hawapati ajira.utalii tunao lakini hatufaidiki! madini tunayo lakini hatufaidiki, wachezaji wazuri tunao kama kina ngassa, ulimwengu na samata lakini hatufaidiki! mpende mtoto wa yakobo ili upate heri na mafanikio makubwa ya kiuchumi duniani.
taifa staa ikicheza na vichaa wa brazil pia inaweza ikafungwa, au wacheze na timu ya wanawake ya brazil uone, au timu ya walemavu brazil, hiyo ndio taifa staa au sijui kili star yetu, mmmmmh!
Mlikuwa mnataka kocha mzawa mkapewa Jamuhuri Kiwelu, kocha gani anashinda Magome Mapipa, Delaxe bar anakunywa bia tu, hiyo mipango au mbinu za ushindi atazifanya muda gani?
.....................aaah! Huyu jamaa anatuchanganyia mada tuu! Israel..... Israel........ Israel ! Aaagh! Sie tuna hasira yeye hajui eeh? Wametuzuia kuzomea, we unafikiri hasira tukazimalizie wapi ? Halafu haoo Waisrael wake vijana wote kutwa wanatembea na bunduki za kuua, huo mpira wanacheza saa ngapi ?Umeona eeh!! Huyu jamaa sijui vipi!
.....................aaah! Huyu jamaa anatuchanganyia mada tuu! Israel..... Israel........ Israel ! Aaagh! Sie tuna hasira yeye hajui eeh? Wametuzuia kuzomea, we unafikiri hasira tukazimalizie wapi ? Halafu haoo Waisrael wake vijana wote kutwa wanatembea na bunduki za kuua, huo mpira wanacheza saa ngapi ?