mwindaji na mchunaji

mwindaji na mchunaji

emma115

Senior Member
Joined
Apr 28, 2012
Posts
135
Reaction score
167
Kuna jamaa wawili,walikwenda kuwinda, mmoja alikuwa mtaalamu wa kulenga mwingine wa kuchuna, mtaalam wa kuchuna alibaki garini na mwenzake akashuka kuwinda. o Ile anakatiza kichakani mara Simbahuyoooo!o Ikabidi jamaa aanzekukimbia vibaya mnohuku akipiga kelele fungua fungua......!?o Mwenzake akafungua mlango wa gari, jamaa anakaribia mlangoni huku Simba akiwa nyuma, Simba akarmrukia, bahati mbaya jamaa akaanguka chini, Simba akajikuta ndani ya gari, jamaa akaamka haraka akafunga mlango na kumwambia mwenzake..''ANZA KUMCHUNA NAKWENDAKULETA MWINGINE''...
 
kummm.....mam....ke...khahahaaaa!
hapo majasho kibao!
 
Hiyo nomaa arifu hata mimi niketoka nduki tu... mshikaji kamuuzia kesi mwenzie
 
hahahahahahahaaaaa;
kama uashawahi angalia The God Must be Crazy, kuna part kama hiyo!
 
Ee jamani inakuwaga vigumu kuona jino langu lakini hapa oneni tu hahahahaha aaaa
 
Hahahahahahha yalaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom