Hapana utakuwa umekosea.
Yeye hajaonekana humu tangu tar 19 mwezi huu wa Sept.
:ban: hana, japo aliniambia anakwenda Zambia Kikazi.
Halafu yeye wala si wa huku ChitChat.
Yuko kule Jukwaa la Siasa na Jukwaa la Business.
Itakuwa mimi........ndio nimetoka Lusaka na mapochopocho
Thubutuu nimeweka mtego umetegua halafu wataka pochopocho ng'ooHapana,
umejifananisha Shemeji.
Haya leta hayo mapochopocho.
Hivi inapotokea kuwa kila unapomwona mtu flani mwili unasisimka inamaanisha nini jamani?
isije ikawa Paw, uta-rest in pieces sasa hivi mamito. Yaani. . .
Watu wengine humu ni maprofesa wa uongo jamani! Nanukuu "...Quotes zake nikisoma nasisimka....sijawahi kuonana naye.... hataPM hatujawahi...ni wa kwny jukwaa la siasa na biznes...hajaandika humu tangu sept 19.. ALINIAGA ANAENDA MALAWI KIKAZI" NO NEM.
ni aina gani ya mtu unayemzungumzia?
kama ni kibibi kizee sana au kibabu kizee halafu macho yao yawe mekundu na umekutana naye kwenye kimsitu flani hivi, ukiona tu mwili umekusisimuka walah jua umepishana na Mwanga.
Ila kama ni sehemu ya mtoko na ukamuona binti mrembo mzuri au kijana mtanashati,na mwili ukasisimka aaah basi tambua wadudu wanyevuaji wamekutembelea
Watu wengine humu ni maprofesa wa uongo jamani! Nanukuu "...Quotes zake nikisoma nasisimka....sijawahi kuonana naye.... hataPM hatujawahi...ni wa kwny jukwaa la siasa na biznes...hajaandika humu tangu sept 19.. ALINIAGA ANAENDA MALAWI KIKAZI" NO NEM.