Na mumeo umwachie nani..lolEeeh ndiwoo tuchangamkie fursa tu😂😂
😂😂😂 Nilitaka nimuunganishe na mdugu yangu flani hiviNa mumeo umwachie nani..lol
Ila wanaume wa hvyo jamani wa kuhesabu kwa tochi ..😂😂😂 Nilitaka nimuunganishe na mdugu yangu flani hivi
Kuna wanaume wanajua wajibu wao ndio kama huyu Ayubu sasaIla wanaume wa hvyo jamani wakuhesabu kwa tochi ..
Ndio maana nikauliza hatafuti mke, sema tatizo la wagane wengi ni kulinganisha mke mpya na marehemu wake zaoNatamani ningepata wa namna hiyo..wengine sisi wanaume zetu wanaratiba zote za mpira kichwan... hana side hustle..karidhika na vimshahara uchwara vya huyu mjinga ila angalia huyu baba...
Wanawake hawaridhikagi, hata iweje na wana huruma za ajabu.Natamani ningepata wa namna hiyo..wengine sisi wanaume zetu wanaratiba zote za mpira kichwan... hana side hustle..karidhika na vimshahara uchwara vya huyu mjinga ila angalia huyu baba...
Vipi Ayubu hatafuti mke?
Jamani wabongo mmenishinda tabiaUnataka ukapulize filimbiyake ndege(wazungu)waje?
in Zuchu voice
Kwanini?Jamani wabongo mmenishinda tabia
😂😂😂Ninae mume, Ayubu nilitamani awe shemeji yanguKwanini?
Unataka olewa na Ayubu kwahiyo?
Mwenyewe natafuta mke jamani, usibague
Aisee, natamani dini yako ingekuruhusu kuolewa mitala.😂😂😂Ninae mume, Ayubu nilitamani awe shemeji yangu
daah watu hamjambo kweliVipi Ayubu hatafuti mke?
Jamani Shem, uwe na jioni njemaAisee, natamani dini yako ingekuruhusu kuolewa mitala.
Haya shemeji
Hahahaaaaaiiii jamani Ayubu anatakiwa apate mfariji etidaah watu hamjambo kweli