mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,995
deodorant
Fafanua Bac
deodorant
Hata mm nna tazto la kwapa lalini najtunza na u cnt catch me kama nna tatzo la kwapa,Kwanza mwambie atumie body spray ya DRY COMFORT product ya NIVEA ina chupa nyeupe. Lakini pia aache kutumia spray zenye harufu kal kwa kujpulizia kwapan atnazdsha tatzo, aache kabisa atumie hyo. Au wewe mnunulie.Ajpulizie kwenye kwapa. Then pga mzgo. Kwa tatzo la kwapa atamalza kabsa tatzo hlo ilo huko chini mmmh. Subr madokta waje.
kuhusu tatizo la huko chini dawa ipo inaitwa FEMICARE . akitumia kwa siku 7 tu tatizo kwisha. ni pm au nipigie 0759077008 nikuelekeze jinsi ya kuipata.
Hata mm nna tazto la kwapa lalini najtunza na u cnt catch me kama nna tatzo la kwapa,Kwanza mwambie atumie body spray ya DRY COMFORT product ya NIVEA ina chupa nyeupe. Lakini pia aache kutumia spray zenye harufu kal kwa kujpulizia kwapan atnazdsha tatzo, aache kabisa atumie hyo. Au wewe mnunulie.Ajpulizie kwenye kwapa. Then pga mzgo. Kwa tatzo la kwapa atamalza kabsa tatzo hlo ilo huko chini mmmh. Subr madokta waje.
Hiyo dry comfort hata me nilikua natumia ilhali sikuwa na tatizo la kikwapa ila ni nzuri sana smell yake sio kali ni nzuri sana na haunuki kijasho kabisa halafu ipo na deodorant yake pia
Shy land mnunulie mpenzi wako itamsaidia sana
Mpige chini...
siwezi nikafanya hivyo,,,,!!
Mnyoe ...