Replies
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,497
- 452
Unamaanisha amnyoe au amnyonye?
Nywele za kwenye kwapa ni uchafu na ndo chanzo cha harufu Kali
So amfanyie Usafi kwanza then apake msimu etc
Unamaanisha amnyoe au amnyonye?
Msaada kwa mwenye uelewa zaidi nini kisababishi cha kutoa harufu mbaya mwili? Tiba yake, pamoja na njia zingine za kuondo tatizo hilo.
Wana-JF Doctor! Kuna ndugu yangu ana harufu kali mwilini hasa akitokwa na jasho.Hana sehemu yoyote inayouma mwilini.Anasema inamnyima sana uhuru.SWALI:Je hii inasababishwa na nini?Kama kuna anayejua naomba anijuze,
naomba kuwasilisha.
Moshi mkuu.
Habari wana jf
kuna jamaa yangu yeye hata akioga baada ya robo saa mwili unaanza kutoa harufu. pia kwapa lake, anajitahidi kulinyoa lakini harufu ipo, pia uki kaa naye unasikia harufu nyingine toka ktk mapaja hapo inapo kaa dushe aliwahi kuugua fangas na akatibu hizo za uvungu wa mapaja, jamaa jasho ikitoka kidogo tu huwezi kaa naye kochi moja. msaidien shida nini? tiba vipi?
Mh! hicho kimbembe, je yeye anajielewa kuwa ana hilo tatizo? Kuna watu wengine wana majasho mabaya sana. Nilisikia watu wanadai kuwa eti ukipaka ndimu kwenye makwaba kabla ya kuoga inaondoa hiyo harufu. Lakini ngoja waje wataalam hapa watakupa majibu yenye kujenga