bandubandu
Senior Member
- Dec 19, 2010
- 102
- 28
Natumai muwazima wana jf,nimekuwa na tatizo ambalo sielewi linasababishwa na nn,nasikia uchovu sana kiasi cha kuhisi kama naumwa na tena muda mwingi nakuwa najisikia kulala,naomba msaada madaktari.
Mkuu hio inaweza kusababishwa na mambo mengi tofauti kuanzia aiana na mpangilio wa chakula mpaka pirika zako za kila siku ukijumlisha na mda wako wa kulala na kama unalala vizuri usiku mzima na kwa masaa mangapi..
Sasa ni vigumu kujua labda utoe ratiba yako ya siku na mpangilio wa mlo watu wanaweza kukusaidia.
Pole sana mkuu.
umelogwa wewe....na yahaya ndo ivo tena ..utaenda wapi tena?
Natumai muwazima wana jf,nimekuwa na tatizo ambalo sielewi linasababishwa na nn,nasikia uchovu sana kiasi cha kuhisi kama naumwa na tena muda mwingi nakuwa najisikia kulala,naomba msaada madaktari.
Natumai muwazima wana jf,nimekuwa na tatizo ambalo sielewi linasababishwa na nn,nasikia uchovu sana kiasi cha kuhisi kama naumwa na tena muda mwingi nakuwa najisikia kulala,naomba msaada madaktari.
Natumai muwazima wana jf,nimekuwa na tatizo ambalo sielewi linasababishwa na nn,nasikia uchovu sana kiasi cha kuhisi kama naumwa na tena muda mwingi nakuwa najisikia kulala,naomba msaada madaktari.
Una uchafu mwing kwenye damu, mwone dr akupime damu na mkojo atakupa dawa tatizo litaishaNatumai muwazima wana jf,nimekuwa na tatizo ambalo sielewi linasababishwa na nn,nasikia uchovu sana kiasi cha kuhisi kama naumwa na tena muda mwingi nakuwa najisikia kulala,naomba msaada madaktari.
hii ya kitambi 2011 .,labda kwa faida ya jf madaktari wa sasa waongezeeMadaktari wa JF kiboko
Visivyowahusu muwe mnawaachia wanaohusika jamani MziziMkavu