2025DG
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 508
- 1,426
PICHA: Watangazaji Brighton Mwemba maarufu Mwijaku na Revocatus Chipando maarufu Babalevo ni miongoni mwa Wageni waliofika Bungeni Dodoma leo February 02,2023 kujionea shughuli mbalimbali za Bunge zinavyoendeshwa kwa mwaliko wa Spika wa Bunge Dr. Tulia Ackson.