Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 741
- 479
Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa IPU Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), ametembelewa na Marafiki zake kutoka Mbeya.
Awali akiwa anazungumza na wageni hao, Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Dotto Biteko(Mb) alikuja kuwasalimu na kuwapa moyo waendelee kumuombea Spika wa Bunge.
Wageni hao wamefika Leo tarehe 08 Novemba 2023, Bungeni Dodoma.
Awali akiwa anazungumza na wageni hao, Naibu Waziri Mkuu Mhe. Dkt. Dotto Biteko(Mb) alikuja kuwasalimu na kuwapa moyo waendelee kumuombea Spika wa Bunge.
Wageni hao wamefika Leo tarehe 08 Novemba 2023, Bungeni Dodoma.