Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 4,903
- 15,998
Kwamba jamaa kazidisha chumvi?Sio ile ya Mwijaku, taa za ndani tu Mil. 7, taa za nje ya ukuta eti mil 8
Kwamba jamaa kazidisha chumvi?Sio ile ya Mwijaku, taa za ndani tu Mil. 7, taa za nje ya ukuta eti mil 8
Hiv ile ni nyumba ya kulala au ni nyumba ya ndoto zake. Na kingine angalia huyo mtu huko alikozaliwa mazingira huwa yanamshepu mtu. Yote na yote amejitahd anapaswa kupongezwa ni hatua kubwa hasa kwa wasanii. wengi ninaowajua wanaishi maeneo mabovu balaa.Watanzania tunapaswa kubadili mawazo na fikra zetu hasa katika kufukia fedha kwenye ujenzi. Tuna watu wengi wanakosea kujenga kwa kukosa mawazo sahihi au exposure. Tafsi ya nyumba siyo mpangilio wa tofali bali ni muunganiko wa ramani na mazingira ya nje.
Viwanja vya masaki na osterbay vinaweza kuwa kielelezo cha fikra za ujenzi zinavyotakiwa kuwa. Alichofanya mwijaku na kampuni aliyowapa kazi ni aibu kwa karne hii.
Unapoweka malengo yakujenga nyumba hasa ghorofa unapaswa kuanza kuwaza kiwanja, eneo kiwanja kilipo na majirani wanaokuzunguka.
Unapotenga bilion moja ya ujenzi tunategemea kiwanja kitengeewe si chini ya milioni mia na hamsini endapo unataka kupata kiwanja mjini. Jengo la bilioni moja kibongo bongo linapaswa kujengwa kwenye eneo la heka moja endapo utajenga kigamboni ambapo maeneo ni makubwa.
Waliomshauri na kumjengea Mwijaku ndio washauri wa NHC, ambao wanajenga nyumba Tanzania kwenye kiwanja cha Sqmt 200 au 400 kwenye jiji kama Dodoma ambalo linakuwa . Poverty mentality ya wataalam wa ardhi wa nchi imepelekea watu kujenga kwa gharama kubwa lakini hawana uwezo wakupaki magari ishirini au kuwaalika marafiki nyumbani. Unakuwa na nyumba kama ya mwijaku lakini ukialika marafiki mia kuja kwako unalazimika ukatafute ukumbi. Leo Mwijaku akitazama chini akiwa ghorofani anawachungulia majirani.
Nyumba kama ile ingejengwa kwenye eneo sahihi hata wafanyakazi wenzake wangetuonyesha garden ya nje na wangepiga picha hata mandhari ya kwenda kwa huyu mjuba.
Nakubali kwamba tunanunua viwanja tukiwa hatujui tunajenga nini ila tunapochora ramani ya nyumba kama ile tutafute kiwanja. Alishindwa nini kwenda kujenga mbweni huko au bagamoyo ?
Nampongeza na niwapongeze wote wenye maono kama yake ila tubadili fikra tuje na maeneo ya uzunguni ambapo tukitaka kutembelea tunakuta miundombinu hata ya usalama ipo sawa.
Povu lazima
Yule hajuwi anasema niniThamani ya nyumba ya Mwijaku inategemea anaongea akiwa wapi na siku gani. Jana alisema Ina thamani ya bil.1.3, leo kuna pahala ansema ni bili. 3. Soma hapa chini.
View attachment 2863866
Kuna nyumba ukiona tu unajuwa bln inafika ila hawa wasanii si unajuwaKwamba jamaa kazidisha chumvi?
Hata nusu eka ni mdogo sana, angalau eka 1.5 Mkuu. Kuna estate Arusha inauza maeneo kwa ajili ya makazi, eneo dogo kabisa ni eka 2, na wamegoma kabisa kushusha chini ya hizo eka 2. Na ukijenga hakuna kuweka ukuta.Siwezi kuwa na 300M nikajenga kwny eneo lenye chini ya nusu heka
NASEMA SIWEZI
Yeye ana nyumbaWatanzania tunapaswa kubadili mawazo na fikra zetu hasa katika kufukia fedha kwenye ujenzi. Tuna watu wengi wanakosea kujenga kwa kukosa mawazo sahihi au exposure. Tafsi ya nyumba siyo mpangilio wa tofali bali ni muunganiko wa ramani na mazingira ya nje.
Viwanja vya masaki na osterbay vinaweza kuwa kielelezo cha fikra za ujenzi zinavyotakiwa kuwa. Alichofanya mwijaku na kampuni aliyowapa kazi ni aibu kwa karne hii.
Unapoweka malengo yakujenga nyumba hasa ghorofa unapaswa kuanza kuwaza kiwanja, eneo kiwanja kilipo na majirani wanaokuzunguka.
Unapotenga bilion moja ya ujenzi tunategemea kiwanja kitengeewe si chini ya milioni mia na hamsini endapo unataka kupata kiwanja mjini. Jengo la bilioni moja kibongo bongo linapaswa kujengwa kwenye eneo la heka moja endapo utajenga kigamboni ambapo maeneo ni makubwa.
Waliomshauri na kumjengea Mwijaku ndio washauri wa NHC, ambao wanajenga nyumba Tanzania kwenye kiwanja cha Sqmt 200 au 400 kwenye jiji kama Dodoma ambalo linakuwa . Poverty mentality ya wataalam wa ardhi wa nchi imepelekea watu kujenga kwa gharama kubwa lakini hawana uwezo wakupaki magari ishirini au kuwaalika marafiki nyumbani. Unakuwa na nyumba kama ya mwijaku lakini ukialika marafiki mia kuja kwako unalazimika ukatafute ukumbi. Leo Mwijaku akitazama chini akiwa ghorofani anawachungulia majirani.
Nyumba kama ile ingejengwa kwenye eneo sahihi hata wafanyakazi wenzake wangetuonyesha garden ya nje na wangepiga picha hata mandhari ya kwenda kwa huyu mjuba.
Nakubali kwamba tunanunua viwanja tukiwa hatujui tunajenga nini ila tunapochora ramani ya nyumba kama ile tutafute kiwanja. Alishindwa nini kwenda kujenga mbweni huko au bagamoyo ?
Nampongeza na niwapongeze wote wenye maono kama yake ila tubadili fikra tuje na maeneo ya uzunguni ambapo tukitaka kutembelea tunakuta miundombinu hata ya usalama ipo sawa.
Povu lazima
😂😂😂😂Tumshauri aiuze sasa
Achukue ushauri
Tusemaje sasa😂😂😂😂
Yani Mwijaku apate bilion hivi nyie bilion Moja mnadhani ni matako !Mkuu kuna watu wachache sana wanajua endorsements kwa hawa watu maarufu huwa zinafikia bei gani ndio maana tunaona ni issue ngumu sana kwa wao kutimiza 1 B..
Ila nikuhakikishie tu, kwa balozi anazozipata mwijaku wakati hana maisha ya ku_fake au starehe sana ambacho ni chanzo cha umaskini wa wasanii wengi. Hiyo pesa anafikisha
Hii nyumba hata 500 m haifiki kwa ujenz upi wa kufika b anataka misifa tu anaijua b 1 ilivyoKama unataka nikuuzie lets talk
Ebu kuwa serious..nyumba YA mwijaku haizidi 250,000,0000Naungana na wewe na kusisitiza yafuatayo. Vijana wa sasa hata waze tunatakiwa kubadilika. Kujenga majumba makubwa sio ufahari. Mwisho wake huwa hayatumiki. Nenda mbezi beach kuna mijengo inaota nyasi na kupangishwa kwa hela ndogo ili walao kuwe na watu ndani.
Kama kweli katumia 1.2bn (ingawa siamini). Angeweka fedha hizo benki angepata 120m kila mwaka. Angewaambia benki kwa miaka 3. Badala ya kumpa 360m wampe 300m tu. Angejenga nyumba nzuri sana kwa 300m. Tena kwa kununua kiwanja kizuri sana kwa 100m. Nyumba ingekamilika. 1.2bn ingebaki palepale benki na yumba angepata.
Si hivyo tu. Angejenga hoteli imzalishie. Vijana wa sasa tubadilike. Kufukia 1.2bn kwa nyumba ya kuishi ni ufahari wa muda tu.
Kwa nyumba hiyo umeme ni 300,000 kwa mwezi. Mengine je.
Umenifurahisha sanaTusemaje sasa
Maana tunapangiana maisha 😄
Hivi pale kuna swimming pool au kisima cha kuhifadhia maji.Mkuu bado unaamini ile nyumba ya Mwijaku ni 1.3 B?
Ile nyumba hata 200 milioni haifiki..
Usibabaishwe na marangi pamoja na swimming pool juu ya paa.