Mwijage atakua mchawi sana,si bure
Kwenye sukari kapona,kwenye mafuta yakula kapona,hilo la cement ni mara ya pili hii
kakizidiwa kanamuingiza waziri mkuu kenyewe kanabaki pembeni
Magufuli anataka mambo yaende,huo mkataba uwekwe pembeni,saini mkataba wa muda uzalishaji uendelee mzigo ujae sokoni,mnamchosha Rais wetu
Kwenye sukari kapona,kwenye mafuta yakula kapona,hilo la cement ni mara ya pili hii
kakizidiwa kanamuingiza waziri mkuu kenyewe kanabaki pembeni
Magufuli anataka mambo yaende,huo mkataba uwekwe pembeni,saini mkataba wa muda uzalishaji uendelee mzigo ujae sokoni,mnamchosha Rais wetu