MWIGULU tena SUMBAWANGA Mjini

MWIGULU tena SUMBAWANGA Mjini

Wamekwisha mapema, badala ya kupeleka watu wenye weredi kupiga kampeni wanampa mtukanaji ukuu, chali mapema hao
 
Wampeleke magufuli na lowasa mkapa afungue kampeni na kikwete afunge.
 
Hivi bado CCM hawajagundua kwamba Chemba ni Tatizo,ila vizur coz Adui muombee njaa
 
"Mchumi daraja la kwanza" CCM kweli inajifia, ndio kusema mwigulu ndio tegemeo lao?
 
Ubaya wa ccm hawajitambui kosa wamelifanya wanataka kurudia kosa mimi niwashauri ccm watuwote wanaotohumiwa kuendesha kampeni za matusi waondolewe pia wawapange pr mulugo,magufuli,mwakiembe,na tbaijuka,sioni mwingine.
 
Slowly Mungu anawaondoa kabla ya 2015,Ghafla kama hakuna maandamano nchi nzima hadi ikulu,basi Mungu kaamu adamu aismwagike, sur aya bunge kubadilika na ikibidi speaker anaondoka au bunge kuvunjwa na uchgauzi ukipigwa anabai rais tuu.Anapigwa chini naye.
 
Watanzania wenzangu bwana, badala ya kuhurumia over 3.5bilion inazikwa kwa uchaguzi mdogo ktk eneo ambalo halina maji ya kutosha, madawati, vitio vya afya nk tunashabikia uchaguzi kama vile ni mechi ua Simba na Yanga. By the way hata uchaguzi ukarudiwa majibu yako wazi. CCM ITASHINDA. SUMBAWANGA? SUMBAWANGA? SIKU YA KUPIGA KURA, YAANI DAKIKA 30 TU BAADA YA VITUO KUFUNGULIWA, CCM INASHINDA. LET US WAIT
 
kama kweli kikosi ndo hicho,CDM a.k.a nguvu ya umma wanashinda uchaguzi wa Sumbawanga mjini mchana kweupe,
 
CCM wangekuwa wanafunzi wangepata zero. Mwigulu ni disaster, kaleta balaa Igunga akaleta kushindwa Arumeru Mashariki, leo wanataka wampeleke tena na S'wanga mjini!!
Isanity: Keeping doing the same things in the same way expecting a different result!!!!! Hawa jamaa huu ndo ugonjwa wao!!!!
 
Watanzania wenzangu bwana, badala ya kuhurumia over 3.5bilion inazikwa kwa uchaguzi mdogo ktk eneo ambalo halina maji ya kutosha, madawati, vitio vya afya nk tunashabikia uchaguzi kama vile ni mechi ua Simba na Yanga. By the way hata uchaguzi ukarudiwa majibu yako wazi. CCM ITASHINDA. SUMBAWANGA? SUMBAWANGA? SIKU YA KUPIGA KURA, YAANI DAKIKA 30 TU BAADA YA VITUO KUFUNGULIWA, CCM INASHINDA. LET US WAIT


Kama Arumeru na Igunga vile.
 
duh! CCM hawajifunzi tu kurudia kula matapishi?
Nchemba
Wassira
Lusinde

Wewe unafikiri ni nani wa maana anayefaa zaidi ya hao? Nakuhakikishia hakuna hata mmoja. Hao ndio wanaonekana cream ndani ya chama cha magamba. Ni sawa na kutafuta kondoo katika kundi la mbwa mwitu.
 
kwa taarifa yenu hizo weaknesses mnazoziona kwa hao walioteuliwa, ndio strength za ccm, wanajua zitatumikaje. subirini muone, labda washindwe kuzitumia kama ilivyokusudiwa. halafu mna habari kuwa karibu viongozi wa hicho chama watawehuka wote? tena bila ulozi wala nini, laana tu za watanzania wanavyoteseka,, na jinsi wanavyomwomba Mungu. hebu semeni nyie wenyewe kama kuna anayeonekana akili ziko sawa, kwishnei wote.
 
Watanzania wenzangu bwana, badala ya kuhurumia over 3.5bilion inazikwa kwa uchaguzi mdogo ktk eneo ambalo halina maji ya kutosha, madawati, vitio vya afya nk tunashabikia uchaguzi kama vile ni mechi ua Simba na Yanga. By the way hata uchaguzi ukarudiwa majibu yako wazi. CCM ITASHINDA. SUMBAWANGA? SUMBAWANGA? SIKU YA KUPIGA KURA, YAANI DAKIKA 30 TU BAADA YA VITUO KUFUNGULIWA, CCM INASHINDA. LET US WAIT

Ndio wewe au unatishia kujamba wakati unaharisha?
 
watanzania wenzangu bwana, badala ya kuhurumia over 3.5bilion inazikwa kwa uchaguzi mdogo ktk eneo ambalo halina maji ya kutosha, madawati, vitio vya afya nk tunashabikia uchaguzi kama vile ni mechi ua simba na yanga. By the way hata uchaguzi ukarudiwa majibu yako wazi. Ccm itashinda. Sumbawanga? Sumbawanga? Siku ya kupiga kura, yaani dakika 30 tu baada ya vituo kufunguliwa, ccm inashinda. Let us wait
utadhani kweli una uchungu wakati moyoni unafurahia kuchakachua hela za watz kupitia uchaguzi
 
Watanzania wenzangu bwana, badala ya kuhurumia over 3.5bilion inazikwa kwa uchaguzi mdogo ktk eneo ambalo halina maji ya kutosha, madawati, vitio vya afya nk tunashabikia uchaguzi kama vile ni mechi ua Simba na Yanga. By the way hata uchaguzi ukarudiwa majibu yako wazi. CCM ITASHINDA. SUMBAWANGA? SUMBAWANGA? SIKU YA KUPIGA KURA, YAANI DAKIKA 30 TU BAADA YA VITUO KUFUNGULIWA, CCM INASHINDA. LET US WAIT

Ni wewe pendapenda mwenyewe tunaemjadili hapa au mwingine. Ama kweli wonders will never end yooooooooo
 
Back
Top Bottom