hoja za kimburula
Real Nchemba kajiaibisha
na kawaaibisha maccm wenzake waliomwamini siku ile bungeni anatoka povu
kuwa yuko tayar kutoa ushahidi bungen,mahakaman na hata mbinguni,sasa
mbona hajaenda mahakamani kufanya hvyo? Je mbinguni ataweza? Wanamtesa
baba wa watu lwakatare lupango bila kosa,yaani siku ya mwisho Mungu
mtamtambua,maskin babu seya pia ndo waathirika wa chuki binafsi.Shame on
u ccm.sitapigia kura ccm ni LAANA
1. Umesema kuna mambo mengi sana kuhusu kupotea kwa Mwigulu! Taja machache basi
2. Unadai wengine wamezusha mengi! Taja angalua machache waliyozusha.
3. Unataka aje afanye nini wakati hujaeleweka unataka nini?
ndugu wana jf. Jina langu mimi ni Elineema Mosi. kuna mambo mengi sana kuhusu sintofahamu ya kupotea kwa Mh Mwigulu Mchemba hadi kupelekea wengine kuzusha mengi? kwakuwa yeye ni member naomba aje hapa ili tujue ukweli wa mambo?
Mkuu pole, tarehe 4 Mei, siku ya Jumamosi akiongozana na Waheshimiwa wabunge wengine amepaa kwenda Uchina. Hii ni taarifa ya uhakika isiyo na vikwazo. Niliwashuhudia kwa macho yangu mimi nikienda Ulaya siku hiyo hiyo na Emirati ya saa 10.55 jioni.Kaka namtaka aje hapa mwenyewe. Wakati anenda jeshini alituaga hvyo kwakuwa yeye ni member mwache aje mwenyewe hapa atuondolee hii sintofahamu,labda wanamzushia mengine ila la Lwakatare ni kweli alipanga mambo ya kishetani hivyo aje aombe radhi hapa jamvini.
Kuandika hivyo tu 7000/-? Pumbavu mwenyewe!!!!
ndugu wana jf. Jina langu mimi ni Elineema Mosi. kuna mambo mengi sana kuhusu sintofahamu ya kupotea kwa Mh Mwigulu Mchemba hadi kupelekea wengine kuzusha mengi? kwakuwa yeye ni member naomba aje hapa ili tujue ukweli wa mambo?
1. Umesema kuna mambo mengi sana kuhusu kupotea kwa Mwigulu! Taja machache basi
2. Unadai wengine wamezusha mengi! Taja angalua machache waliyozusha.
3. Unataka aje afanye nini wakati hujaeleweka unataka nini?
Yupo Denmark kwani haku waaga nyie nyumba ndogo zake???