alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Habari za siku nyingi kaka!
Mara ya mwisho tulikutuna Lumumba na ukanidokeza kuhusu safari yako ya Mkoani Kigoma na 'ulinitonya' kuhusu safari yako ya Nigeria kwa TB J.
Tulipiga soga zihusuzo 'jembe' Magu hasa kuhusu anavyowafanya msilale 'Mawaziri' hiyo yote ni kwa sababu ya u busy usiokoma!Tulicheka,tulifurahi na mwisho ukaniaga na ulielekea katika ofisi ya KM.
Ajabu baada ya siku mbili mbele nikasikia tetesi kuwa mda wowote utatumbuliwa,nilihamaki!
Nilikutafuta kwenye simu yako na hukupatikana. Lakini asubuhi yake nikaelezwa kwamba ulikesha safari Kigoma na tayari ulifika asubuhi mapema.Nilikumbuka kuhusu hiyo safari kwa sababu ulinijuza.
Siku hiyo hiyo mchana nikapata habari kwamba umetumbuliwa!Hakika tetesi za janaye jioni zikawa za kweli.Nilijiuliza pasina kuelewa sababu.
Sikuelewa hali uliyokuwa nayo na hasa kwasababu hata wewe hukufahamu na ulishtukizwa na maamuzi yale ya bwana mkubwa.
Sasa leo na kwa uwazi nataka nifahamu ulifanya/ulimkosea nini bwana mkubwa!?
Mara ya mwisho tulikutuna Lumumba na ukanidokeza kuhusu safari yako ya Mkoani Kigoma na 'ulinitonya' kuhusu safari yako ya Nigeria kwa TB J.
Tulipiga soga zihusuzo 'jembe' Magu hasa kuhusu anavyowafanya msilale 'Mawaziri' hiyo yote ni kwa sababu ya u busy usiokoma!Tulicheka,tulifurahi na mwisho ukaniaga na ulielekea katika ofisi ya KM.
Ajabu baada ya siku mbili mbele nikasikia tetesi kuwa mda wowote utatumbuliwa,nilihamaki!
Nilikutafuta kwenye simu yako na hukupatikana. Lakini asubuhi yake nikaelezwa kwamba ulikesha safari Kigoma na tayari ulifika asubuhi mapema.Nilikumbuka kuhusu hiyo safari kwa sababu ulinijuza.
Siku hiyo hiyo mchana nikapata habari kwamba umetumbuliwa!Hakika tetesi za janaye jioni zikawa za kweli.Nilijiuliza pasina kuelewa sababu.
Sikuelewa hali uliyokuwa nayo na hasa kwasababu hata wewe hukufahamu na ulishtukizwa na maamuzi yale ya bwana mkubwa.
Sasa leo na kwa uwazi nataka nifahamu ulifanya/ulimkosea nini bwana mkubwa!?