WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Kama Dr. Slaa ana uwezo wa kuongea kitu na kweli kikafanyika, basi Rais JK ni dhaifu kama alivyosema Mh. Mnyika na sidhani kama atakua na uhalali wa kuendelea kutawala. Serikali ya CCM ina usalama wa taifa, ina jeshi na pia ina jeshi la polisi, inakuaje ishindwe na kauli ndogo kama hiyo ya Dr. Slaa...??
Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.
Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.
Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.
Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?
Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.
Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.
Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.
Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.
Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?
Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.
Kumbe mnaua ili mrejee ns kusndaa namna ya kuwahadaa watz huku mkijua kuwa mmepoteza mvuto????? Cccm ni sawa namavi. Kamavipi mud nifungie kama kawaida yako.
Nimeamini Watanganyika ni Vichwa maji kweli kweli. Unamtetea Mwigulu Nchemba na kumkandia Dr. Slaa? Sawa, Dr. alisema nchi haitatawalika. lakini je! Mwangosi ni Dr. alimtenda vile? Mauaji ya Mwaka juzi Arusha, ni Dr. Slaa? Waliotekwa, kuteswa, kung'olewa kucha, macho na meno, ni Dr. Slaa? Dr. alichomaanisha ni kwamba, atafanya kazi kuhakikisha watanzania wanatambua haki zao, na kuzidai. Haki zenyewe ni zipi? Meremeta, EPA, Kiwira, Symbioni, Fedha za Uswis n.k. (na alishalitolea ufafanuzi suala hilo, ila CCM mnalificha suala hilo kwa makusudi). Mauaji na vurugu zinazotokea nchini kwa sasa, hazisababishwi na Dr. Slaa, wala CHADEMA. Bali ni CCM kupitia kwa serikali yake, kupitia kwa Polisi wake. Hivi Dr. Slaa au CHADEMA wajilipue kwa bomu, inawezekana? Wawaue watanzania ili iweje? Nguvu ambayo CCM wanaitumia kuinyamazisha chadema, ni kubwa kuliko kawaida. Na hiyo ni kielelezo cha Utawala uliochoka kimfumo na kifikra na kimaono. Mwaka Juzi, serikali jeshi la polisi liliua kule arusha, likizuia maandamano ya CHADEMA. Siku ya kuaga miili ile, CHADEMA waliorganize ibada zile bila uwepo wa polisi, na hakuna kilichoharibika. Iweje watuambie kuwa mkusanyiko wa Jumamosi ungeharibu upelelezi? CCM, POLICE, SERIKALI, mnatakiwa mtuambie kinagaubaga, kuhusu sababu ya haya yanayotokea, na si kuilaumu CHADEMA. Tumesikia kwenye chaguzi ndogo za jumapili, jinsi vijana wa CCM walivyoteka watu wa chadema kule Arusha makuyuni, sengerema n.k. halafu leo mnakuja kutuambia kuwa VURUGU NA MAUAJI YA TANZANIA CHADEMA WANAHUSIKA?
Naomba kuuliza wanajamii,hii forum ni ya chadema? kwa sababu ukiwa kinyume na chadema kidogo tu,utashambuliwa na matusi makali, ambayo mimi sioni sababu ya kutukanana kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kuwa mahali popote,chama chochote ili mradi tu avunji sheria,tuwe wastaarabu jamani,tukosoane bila matusi na kwa hoja sio kuropoka tu.
Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.
Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.
Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.
Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?
Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.
NITAHAKIKISHA NCHI HAITAWALIKI!! Hakusema hivyo, mmezoea kumlisha maneno mzee wa watu.Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.
Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.
Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.
Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?
Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.