Mwigulu nchemba tena!!

Mwigulu nchemba tena!!

ndg, wanabodi,
zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu mwigulu juu ya matokeo yanayotokea.

Swala la msingi siyo kumlaumu nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni makusudi tu ya kushindwa kupembua mambo.

Nanukuu "ccm imechakachua matokeo, mimi simutambui kikwete na nitahakikisha nchi haitawaliki, dk. Slaa 2010" mwisho wa kunukuu.

Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?

Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.
si makosa yako,mungu akusamehe kwa ujinga unaokuandama!!
 
Kumbe mnaua ili mrejee ns kusndaa namna ya kuwahadaa watz huku mkijua kuwa mmepoteza mvuto????? Cccm ni sawa namavi. Kamavipi mud nifungie kama kawaida yako.

cdm mimavi mingiii
 
Upuuzi mtupu, mnaua watu kwa tamaa ya kutaka kubaki madarakani huku mkitumia illogical premises kujificha.Kwanini matukio hayo hayatokei mikutano ya CCM? Wale askari na RPC Kamuhanda waliomuua Mwangosi kule Nyololo,Iringa walitumwa na nani? Haiwezekani mkimbie kivuli chenu kwani ukweli tunaujua.Kilichobaki kwa CCM ni kuua wanaopinga ujinga wao.Yuko wapi Prof.Jwani Mwaikusa?

mnauwa ili mkae madarakani
 
Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.

Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.

Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.

Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?

Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.
Unanadhani nani ana matatizo anayeshindwa kutawala au aliyetabiri kuwa kiongozi atashindwa kutawala!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom