Mwigulu nchemba tena!!

Mwigulu nchemba tena!!

Machadema yanapenda sana kuhamishia madhambi yao kwa wengine. Kauli kama hii ya kuhakikisha nchi haitatawalika ni uhaini mkubwa, lakini hawajitizami wanaishia kuchafua watu wengine
 
Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?

Mkuu unamuuliza nani hili swali? Nakushauri uwaulize Polisi wetu wanaweza kuwa na majibu sahihi.

 
Kama Dr. Slaa ana uwezo wa kuongea kitu na kweli kikafanyika, basi Rais JK ni dhaifu kama alivyosema Mh. Mnyika na sidhani kama atakua na uhalali wa kuendelea kutawala. Serikali ya CCM ina usalama wa taifa, ina jeshi na pia ina jeshi la polisi, inakuaje ishindwe na kauli ndogo kama hiyo ya Dr. Slaa...??
Nchi kutotawalika unachukulia kuwa ni kauli ndogo? ama kweli Kibwetere amaebakiza kuwachinja tu.
 
Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.

Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.

Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.

Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?

Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.

Kafie mbali, usituletee Laana hapa nchini.
 
Polepole huu moshi utageuka moto. Ccm itaungua hadi lile tone la mwisho. Damu za watu sii maji.
 
Mbona kauli ya nchi haitatawalika Dr Slaa aliitolea ufafanuzi?Popote Duniani usipotenda haki kwa muda mrefu watu uchoka,na kuwatawala uwa vigumu.Machafuko yote yanayotekea Duniani kote kwa sasa ni watawala kutotenda haki.Dr alienda mbali aksema amani ni tunda la Haki.Kama unaweza soma Biblia soma hapa YAKOBO 3.18.Watu wankufa wauaji hawakamatwi,.Mfumuko wa bei,juzi tu Simatra wamepandisha Nauli,bajeti iliyosomwa juzi Mafuta ya diseli, petroli yamepnada bei,mafuta ya taa yanayotumiwa na wanachi wengi waishiyo vijijini yanapaa bei kila siku.Ukipandisha bei ya mahitaji muhimu ya wananchi wako,na maisha ya kila siku yakawa magumu kwa kupanda bei kwa fujo,hata ujenge barabara bora mapaka vichochoroni hakuna atakayefurahia barabara hizo,maana hata ukilima sana ukapata mazao mengi,utavuna na kuuza kwa wingi na kupata pesa nying lakina matumizi yako juu.Tunaomba kujua nani alimuua Mwangosi,nani alimuua Yule Bwana wa Morogoro,nani alimuua Padre Mush,nani alitupa bomu kanisani Arusha na kwn mkutano wa CHADEMA?je aliyetupa bomu kwenye mkutano wa CHADEMA ndiye aliyetupa Bomu Kanisani?tuanataka kujua.Hata Serikali ikitengeneza Barabara za Flyover nchi nzima bila kutenda haki Amani Tanzania haitapatikana.Tanzania ya sasa watu tumegawanywa katika makundi.Kuna wanosoma kwenye shule za kata ambazo hazina maabara kwa hiyo uwezi pata wanasayansi kule,hakuna vitabu hakuana walimu na Kuna wanaosoma shule za vibopa na kuna wanosoma nje karo kwa mwaka milion kumi mpaka 40.Hawa wote hawawezi kuwa kitu kimoja.Tunaomba tupate Viongozi watenda haki,ambao watayajua haya.Mlala hoi asinunue Sukari duka moja na mkuu wa Wilaya.Biblia inasema katika MITHALI 29.2 INSEMA HIVI ' Wenye haki wakiwa na amri watu hufurahi Bali mwovu atawalapo watu huugua''
 
Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.

Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.

Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.

Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?

Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.
TUNAOENDESHWA NA LOGIC tunakuelewa. wale wanaoendeshwa kwa remote za chuki na ushabiki a.k.a umangi watakutukana. subiria matusi bandugu bangu.
mimi mtaani wananitambua, naenda nao jino kwa jino mpaka wananiwekea visasi. ila kwa sababu najua ni waoga na hawana ujasiri, huwa hawanipi shida. ila ukweli ni kwamba wengi wao ni akina mangiiii
 
Siyo kila uliwazalo ni la kuandika, wakati mwingine utaandika pumba, shabash
 
SWALI: Kwa hiyo Mwigulu kuua na Kuteka watu anakokufanya ni kwamba anatekeleza kauli ya Dr? Au anapambambana na Dr. kuhakikisha afanikiwi katika hiyo kauli yake?
 
Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.

Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.

Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.

Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?

Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.

Shame on you, jitu zima midevu kibao usoni bado linaongopa bila hata aibu, Hiyo kauli ya kwamba "Ntahakikisha nchi haitatawalika" haikuwahi kusemwa mahali popote na Sio tu Dr. Slaa, bali hata kiongozi yeyote wa CHADEMA, wewe naona unataka ugeuze nuru kuwa usiku na kufunika kombe mwanaharamu wenu mwinguru-we apite, umesahau alipowaambia wananchi kama wasipoichagua ccm watakufa??
na sio kaulil ya siku mingi, ni juzi tu kwenye uchaguzi wa madiwani Hapa R Chuga??

Hata jina lako linaonyesha tu una Utindio wa kufikiri na kupembua mambo, anyway, buku 7 yako ipo tayari kwani cheq imeshatoka, so kama kawa m pesa itahusika
 
Sasa kama Kauli ni hiyo ya Dr Slaa, kwanini Mwigulu naye ahusike na mauaji? Kwanini Polisi wanaua raia na waandishi? Kwanini usalama wa Taifa nao watajwe kuteka watu? My Take Slaa hamiliki Polisi, usalama wa Taifa wala Mwigulu, wote hawa ni wa CCM na ndio inawatuma hawa
 
Nchi kutotawalika unachukulia kuwa ni kauli ndogo? ama kweli Kibwetere amaebakiza kuwachinja tu.

Kwa hiyo unaamini kuwa kauli ya Dr. Slaa inaweza kupindua nchi? Au unaamini kuwa Dr Slaa ana nguvu kuliko jeshi, usalama wa taifa na serikali?
 
Bapupeghe, Infrence ya maneno huwazi kulinganisha namatukio.Utapata majibu yenye probability. Jiulize nani anadhamana ya kulinda wananchi na mali zao? Je wanaCDM sio wananchi? Usiwe na mawazo ya kichama, fikiria kama nini wewe ungepoteza mototo, mama au viungo vyako na kuna vyombo vya usalama vinavyotumia kodi ya wananchi na vinaruhusu wahalifu hawa kufanya unyama huu.Majukumu ya usalama wa taifa ni yapi? wanafanya nini mpaka bomu litoke CHINA bila kujua?
 
Aliye muua Mwangosi ni nani eti? Kam hiyo kauli yako ni makini wangeshawakamata hao unaowaita akina Dk. Ni nani alisema kwamba anayo majina ya wauza unga? Ni nani alitutangazia hadharani kwamba wezzi wa fedha za EPA hawakamatiki na wakikamatwa nchi haitatawalika?

Usisahau kututupia na ka CV kako vile vile ili tujue tunaongea na nani.
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]

Ndugu kwa hasira sikutaka kuchangia hii thread kwakuepuka ban, ila umenishawishi nikupe bigup kwa kugundua kwamba inawezekana unaongea na kichaa ni bora uwe makini usije ukawa unapoteza mda wako bure.
 
Ndg, wanabodi,
Zipo thread nyingi ambazo zinaandikwa na kumtuhumu Mwigulu juu ya Matokeo yanayotokea.

Swala la Msingi siyo kumlaumu Nchemba, hapa naona watz ni wepesi wa kusahau au ni Makusudi tu ya kushindwa kupembua Mambo.

Nanukuu "CCM Imechakachua matokeo, mimi simutambui Kikwete na Nitahakikisha Nchi haitawaliki, Dk. SLAA 2010" Mwisho wa Kunukuu.

Swali! Kwanini hatufikirii kauli hz nzito za Mwanzo na tunafikria leo tu? Nani amewahi kumhoji dk. Kwa kauli yake alimaanisha nini?

Mytake!
That is a political game. Cdm they know each and every thing, but they hide the reality.

mlimuhoji kwanza huyo dr slaa anamaanisha nini au mnakurupuka tu kama mmeingizwa vitu vya moto mak.....ni?nakushauri punguza mahaba kwa mumeo savimbi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom