Mwigulu Nchemba na skafu shingoni,

Mwigulu Nchemba na skafu shingoni,

mecy

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2012
Posts
422
Reaction score
58
Hv mwigulu Nchemba kitendo cha kuvaa skafu hadi makanisani nini manake,nimeanza patwa mashaka hakika pengne ni hirizi yake,mana haiwezekani kila uendako unako,ndio mlinzi wako,Mungu amesema Bwana asema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake,kila mahali umelivaa tu,si kanisani,msaidien huyu kijana,
 
[h=5]Emmanuel John Nchimbi[/h]2 December via Mobile


Tarehe 20 November 2013 mtandao wa JAMII FORUM watu wasio waungwana walipost mawasiliano ya email yaliyodaiwa kuwa ni mawasiliano ya email yaliyonaswa kati ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM mhe mwigulu Nchemba na Mimi.
Tukidaiwa kula njama za kumsaidia Mhe zitto Kabwe.
Nililipuuza jambo hilo kwa sababu niliamini kila mwenye akili timamu atajua mawasiliano hayo ni ya kughushi. Lakini kutokana na wanachi wengi kutaka kujua kama yana Ukweli nimelazimika kusema kifupi.

KWANZA mimi na mwigulu hatujawahi kuwasiliana kwa Email katika maisha yetu.

PILI wenye chuki na mhe ZITTO sio lazima watumie email za kughushi ambazo zinachafua wasiohusika kwasababu tu ya wao kuitaka Shingo ya mhe Zitto.

TATU tunachukua hatua za kisheria ili waliohusika na kughushi email hizo na wanaozisambaza wafikishwe kwenye kwenye vyombo vya sheria ili Kukomesha tabia hii ambayo imeanza kuota mizizi.

Emmanuel John Nchimbi.



 
Hv mwigulu Nchemba kitendo cha kuvaa skafu hadi makanisani nini manake,nimeanza patwa mashaka hakika pengne ni hirizi yake,mana haiwezekani kila uendako unako,ndio mlinzi wako,Mungu amesema Bwana asema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake,kila mahali umelivaa tu,si kanisani,msaidien huyu kijana,


Aliwahi kusema ni kwa uzalendo alionao kwa nchi yake kuvaa skafu ya bendera ya Tanzania ,ila Wahenga walinena "Mchunguze anaelia sana msibani"
 
Uzalendo hauko hvi kwa kuvaa skafu shingoni,wawezd vaa hvyo na bdo ukawa wainjinia vitendo viovu,mzalendo atakuwa yeye bhana,walikuwa kina nyerere na kawawa ,sokoine,kweli jamaa anatia aibu,
 
DJ kuvaa miwani anaficha mini?

Yaani wewe jamaa kuuutwa unatema uharo kwa mdomo. Sasa miwani wewe hujui kazi yake?! Kwahiyo Mnadhimu wenu naye ili ya kwake kuna kitu anaficha au?! Bure kabisa wewe, nilikuwa nakuona una maana kumbe mpuuzi wa mwisho.
 
Hv mwigulu Nchemba kitendo cha kuvaa skafu hadi makanisani nini manake,nimeanza patwa mashaka hakika pengne ni hirizi yake,mana haiwezekani kila uendako unako,ndio mlinzi wako,Mungu amesema Bwana asema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake,kila mahali umelivaa tu,si kanisani,msaidien huyu kijana,
Leo umekunywa gongo na viroba kwa pamoja ee?
 
hyo ndo kinga yake,

Zuga ya kizezeta anajifanya anauchungu na nchi kuliko wengine ImageUploadedByJamiiForums1388229672.433928.jpg
 
Hv mwigulu Nchemba kitendo cha kuvaa skafu hadi makanisani nini manake,nimeanza patwa mashaka hakika pengne ni hirizi yake,mana haiwezekani kila uendako unako,ndio mlinzi wako,Mungu amesema Bwana asema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake,kila mahali umelivaa tu,si kanisani,msaidien huyu kijana,

Unaimani za kishirikina wewe.
 
Yaani wewe jamaa kuuutwa unatema uharo kwa mdomo. Sasa miwani wewe hujui kazi yake?! Kwahiyo Mnadhimu wenu naye ili ya kwake kuna kitu anaficha au?! Bure kabisa wewe, nilikuwa nakuona una maana kumbe mpuuzi wa mwisho.

Yaani Mkuu ulikuwa unamuona wa Maana huyu jamaa Chris Lukosi Kibaka Mbeba Box na Mla rambi rambi za wajane!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Msalani,kama jina lako lilivyo msalani,akili yako imeajiriwa na mwigulu,
 
Back
Top Bottom