ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
- Thread starter
- #61
Mimi sio Kada ila ni wale ambao tumepata kazi awamu ya 6.Tunatoa ushuhuda.je we ni kada wa chama kile?
Mimi sio Kada ila ni wale ambao tumepata kazi awamu ya 6.Tunatoa ushuhuda.je we ni kada wa chama kile?
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amewashangaa na kuwazodoa wanaodai Kuna maisha magumu wakati Kuna Utitiri wa magari Namba E Yamejaa Barabarani,Harusi na Bar Zinajaza na Benki Kuna Foleni ya kutoa na kuweka pesa.
Mwigulu anasema Suala la ugumu wa Maisha ni hakuna siku litaisha Duniani ndio maana hata Mataji wakubwa wanajiua.
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1763230060654318057?t=CxsEpOsdZjyLYxbzzsT2gg&s=19
My Take
Naungana na Mwigulu,Maisha magumu ni subjective na sio jukumu la Moja kwa Moja la Serikali.
Kivipi? Maana kauliza ni lini maisha yamewahi kuwa mepesi?Huyo ndio maana walikuwa wanamuhisi chet feki
Inamaana kama kweli shule imekaa vzr hajui kama serikali inaweza kuchangia ugumu wa maisha?
Zero brain huyo
Sasa wazir wenyewe zero atakuwaje na data za kitaalam?Aisee.. kwa hiyo hizo ndio data za kitaalamu kuonyesha kuwa kipato Cha mwananchi kimeongezeka!?
Mawaziri wa ccm wanatia aibu sana !Maandamano effects!!
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amewashangaa na kuwazodoa wanaodai Kuna maisha magumu wakati Kuna Utitiri wa magari Namba E Yamejaa Barabarani,Harusi na Bar Zinajaza na Benki Kuna Foleni ya kutoa na kuweka pesa.
Mwigulu anasema Suala la ugumu wa Maisha ni hakuna siku litaisha Duniani ndio maana hata Mataji wakubwa wanajiua.
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1763230060654318057?t=CxsEpOsdZjyLYxbzzsT2gg&s=19
My Take
Naungana na Mwigulu,Maisha magumu ni subjective na sio jukumu la Moja kwa Moja la Serikali.
View: https://twitter.com/mhdhamad/status/1763258665778168077?t=X45ySDz8mj4S_H21nOcuPQ&s=19
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amewashangaa na kuwazodoa wanaodai Kuna maisha magumu wakati Kuna Utitiri wa magari Namba E Yamejaa Barabarani,Harusi na Bar Zinajaza na Benki Kuna Foleni ya kutoa na kuweka pesa.
Mwigulu anasema Suala la ugumu wa Maisha ni hakuna siku litaisha Duniani ndio maana hata Mataji wakubwa wanajiua.
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1763230060654318057?t=CxsEpOsdZjyLYxbzzsT2gg&s=19
My Take
Naungana na Mwigulu,Maisha magumu ni subjective na sio jukumu la Moja kwa Moja la Serikali.
View: https://twitter.com/mhdhamad/status/1763258665778168077?t=X45ySDz8mj4S_H21nOcuPQ&s=19
Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amewashangaa na kuwazodoa wanaodai Kuna maisha magumu wakati Kuna Utitiri wa magari Namba E Yamejaa Barabarani,Harusi na Bar Zinajaza na Benki Kuna Foleni ya kutoa na kuweka pesa.
Mwigulu anasema Suala la ugumu wa Maisha ni hakuna siku litaisha Duniani ndio maana hata Mataji wakubwa wanajiua.
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1763230060654318057?t=CxsEpOsdZjyLYxbzzsT2gg&s=19
My Take
Naungana na Mwigulu,Maisha magumu ni subjective na sio jukumu la Moja kwa Moja la Serikali.
View: https://twitter.com/mhdhamad/status/1763258665778168077?t=X45ySDz8mj4S_H21nOcuPQ&s=19
Watakuchosha nyumbu hawa wakikaririshwa na TL huwavandui. Waambie wazurure vijijini na kwenye "senta" za vijijini wataona mabadiliko makubwa sana. Ugumu wa maisha ni wewe mwenyewe. Umeshindwa kuendesha Boda, Guta, kufuga kuku, kulima bustani, kuwa machinga, huwezi hata kufanya udalali wa malikauli kariakoo. Pumbafff hawa kutwa nzima kusakua smartphone za kuachiwa na shemeji zao kuona DJ au TL kasema nini??.Huo ni mfano tuu? Kwani majumba huyaoni mtaani? Biashara Mpya huzioni?