Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Kwa sasa ni kwamba chadema kimeshakufa.Nasikitika sana mana wanachadema wenyewe ndo mmekiua chama.Sasa tuambieni mtakizikia wapi?
 
Karibu na kaburi la babu yake ili wazalendo tuyajengee na kuweka alama ya jembe na nyundo.
 
Dini yake na kabila lake havina tatizo kweli

naona mnawashwa sana nanihii.. hiyo ndo cdm,mtatapatapa sana na matamanio yenu ya kuiua cdm hayatafanikiwa kamwe kwa jina la Yesu.sema amen
 
Kitendo cha JF Moderators kupandisha hizo posts kinatafsiriwa kama malicious intention against CHADEMA

Ni vizuri watanzania hata wapenzi wa CHADEMA na wapenda wabadiliko wamejua kinachoendelea
Mzee ndio mbinu mlizokuwa mnafanya... Anyway ukweli hali ni mbaya... tuachane na vyama vijana tujenge nchi yetu kwa namna nyingine.
 
Chris.Hivi umechoka kubeba mabox huko ughaibuni?au kuhudumia wazee imekuwa kazi ngumu sana?urudi tu bongo huko kugumu.Siasa za kuonewa huruma nazo huku zinaelekea ukingoni sijui ajira itakuwaje kama ukirudi nyumbani.
 
Kitendo cha JF Moderators kupandisha hizo posts kinatafsiriwa kama malicious intention against CHADEMA

Ni vizuri watanzania hata wapenzi wa CHADEMA na wapenda wabadiliko wamejua kinachoendelea

kama kuna mtu hajitambui na yuko tayari kutumika kote kote basi huyu ni namba moja.anamzidi hata chizi!
 
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg



JITAMBUE!
 
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg



JITAMBUE!

Possibly umeoverdose zile dawa zako za kila siku kuhusu ugonjwa wako wa zamani! Jamani tena itabidi uanze upya. kazi ipo kwa madaktari!
 
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg



JITAMBUE!

Man United 1-Arsenal 0,tupia matokeo ya viwanja vingine hapa mkuu bila kusahau final Orange CAF champions.
 
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!



JITAMBUE!

. . . .RAMBIRAMBI kwanza!
 
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg



JITAMBUE!

Rambi rambi za mjane ulizokula zinakutafuna...
 
Kwa watu wanaojielewa, wenye kutumia vichwa vyao vizuri hawawezi kupost upuuzi kama huu.
Ni mtu mwenye matatizo kichwani anaweza kufanya hivi..
 
Nilishajua CHADEMA kitakufa, lakini sikuwahi kujua kuwa itakuwa mapema namna hii!
 
Back
Top Bottom