Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Mwigulu Nchemba: CHADEMA itakufa 2015

Yaani wewe sijui umetoka wapi. Wewe unaonyesha mgeni wa siasa. Hii post hakikisha inaenda kwenye jukwaa la utani na porojo. Ukienda jukwaa la siasa watakucheka
 
Kwa watu wanaojielewa, wenye kutumia vichwa vyao vizuri hawawezi kupost upuuzi kama huu.
Ni mtu mwenye matatizo kichwani anaweza kufanya hivi..

Kwako ni upuuzi lakini sisi wenye busara tumeshaona mwisho wa hiki kikundi chenu cha kuchukulia ruzuku!
 
Kama kinakufa wewe kinachokuwasha nini??..mchumia tumbo mbeba mabox wa ulaya,unaleta uzushi wa kitoto,ili kutafuta social proof hapa Jf pamoja na vilaza wenzio wa ccm ili muendelee kujitibu kisaikolojia,kumbuka kutofautiana ktk chama ndio kunakipa afya chama.......jipange
 
Kama kinakufa wewe kinachokuwasha nini??..mchumia tumbo mbeba mabox wa ulaya,unaleta uzushi wa kitoto,ili kutafuta social proof hapa Jf pamoja na vilaza wenzio wa ccm ili muendelee kujitibu kisaikolojia,kumbuka kutofautiana ktk chama ndio kunakipa afya chama.......jipange
Uzushi wakati kila mtu anaona viongozi wako wanavyochanana live hapa jukwaani.

Ingekuwa vyema ungemuita Dr au Dj watoe tamko haraka kabla hali haijawa mbaya zaidi...
 
Mkuu libwata waliyokulisha CCM naona imechukua ufahamu wako wote. CDM ni mwendo mdundo tuu.
 
MODS: Wakuu, kama mlivyoona kwenye press
release ya zitto, huyu bwana mutahaba
(inteligence officer) katajwa nasikia kuna
malumbano kati yake na Zitto, na zitto
amejaribu kump-reempt. Confirm with Zitto hii
kitu. It is 100% genuine....Naomba Msitoe.
Nimeiweka jinsi nilivyoipokea....Zitto anaweza
kuthibitsha
By :
From: t. Mutahaba To johnmnyika@
gmail.comcordesand@ gmai...abwe@gmail.com
and 2 More...
Today at 12:56 AM
Ndg. Zitto
Nasikitishwa sana na hizi tabia zako za ajabu
ajabu. Mimi nafanya kazi katika moja ya taasisi za
ki usalama na nimeshirkia mara kadhaa kukupa
fedha. Nyendo zako hata na sisi tunazijua na
nimeshangazwa na utoto wako wa kuandika
waraka ambao umetoa vitisho ambayo inadaiwa
kutoka kwa Andrea Codes. Ndugu napenda
kukuonya kwamba umefanya mengi ambayo hata
wana Chadema hawajui.
· Swala la Bomu Arusha ulishiriki na lengo ilikuwa
ni kumuua mwenyekiti wa Chadema pamoja na
Ndg. Lema. Hii kitu ulipanga, wewe, mwigulu na
vyombo vya usalama
·Zitto, rais Kikwete alipoenda Sudan ya Kusini
uliambatana naye. Unakumbuka sababu ya wewe
kuitwa? Nikukumbushie kwamba ilikuwa zawadi
kwako ya kuihujumu chadema. CCM
hawakupendi, bali wanapenda hujuma zako ndio
maana walikudanganya kwamba watakusaidia
kupata uenyekiti CDM ikiwepo kumuua Mbowe na
kumdhoofisha Dr. Slaa
· Ndg. Zitto unadanganya umma kwamba
unafuatilia fedha Uswisi wakati hii ni njama
ambayo imesukwa na TISS kisha ukakabidhiwa ili
CHADEMA isiibane sana serikali.
· Tueleze ni majina gani uliyoyapata. Na kama
umeyapata, tunaomba kujua jina lako ni namba
ngapi, kwa sababu na wewe una fedha nje ya nchi
na ushahuidi tunao
· Umekuwa ukijenga mtandao wa kuwania
uenyekiti na fedha ulizopewa na TISS pamoja na
CCM ili kumn'goa Bw. Mbowe kwenye uenyekiti
wa CHADEMA ili 2015 CCM ishinde.
· Zitto, una ghorofa Dodoma karibu na St. Gasper
Hotel. Fedha za kujenga lile jengo zimetoka wapi?
· Zitto, Barrick gold walikujenga shule pale
jimboni kwako. Baada ya lile shule kujengwa na
pia kupewa kitita cha fedha ulinyamaza kabisa
· Ndg. Zitto, wakuu wengi wa mashirika ya umma
wameleta malalamiko TISS kuhusu unavyochukua
fedha kwao. Hilo unalijua kama ni ufisadi?
Ndg. Zitto, wewe ni kijana mdogo. Hizi tamaa zako
za kifisadi zitaipeleka nchi pabaya. Tunakuangalia
na kelele zako hasa fedha za uswisi. Usichezee na
akili za watanzania. Wewe ni fisadi namba moja.
Umeficha fedha nje, ama nikukumbushe kwamba,
majuzi ulipokuwa nje ya nchi ulitoa fedha kwenye
benki Fulani. Ile account umefunguliwa na nani?
Badilika kijana. Kisiasa umeshajimaliza. Pengine
nikukumbushie kwamba mawasiliano yako na
Jack Nzoka, Mwigulu, Ridhiwani za kisaliti ndio
chanzo cha kuanguka kwako. Ila hacha
kuwadanganya watanzania na kiini macho cha
Uswisi. Umeshajua mengi sana , usishangae
kijana ukija kutoweka ghafla. TISS hawachezi na
mtu. Na ni wao au CCM ndio watakao kumaliza
sio CHADEMA. Ule waraka unaosambaa ni mali ya
TISS na imeratibiwa na CCM ambao ndio ndugu
zako wakubwa
Andrea, take care of your son. Get out of these
Zitto corrupt acts. you know quite well that we
wired you money and we have the evidence. Why
would you waste your effort making noises? do
you know the German government is investigating
this matter? why would you fall for Zitto childish
internet games of writing emails to the Chadema
leaders. So for your information, the document
came from CCM and Tanzania Intelligence
Services
Nakutakia kila la kheri kwenye kuhujumu
Chadema.
 
Uzushi wakati kila mtu anaona viongozi wako wanavyochanana live hapa jukwaani.

Ingekuwa vyema ungemuita Dr au Dj watoe tamko haraka kabla hali haijawa mbaya zaidi...

Vita mvianzishe ninyi wengine watoe matamko. Hakuna mbinu matakayo fanya msigundulike. CDM iko smart ever....umesikia ZK yuko Shinyanga!
 
Nilishajua CHADEMA kitakufa, lakini sikuwahi kujua kuwa itakuwa mapema namna hii!
Kwa kweli mkuu imenisikitisha sana

I feel sorry kwa Dr kwani kibarua ndio kinaota mbawa hivyo , nani tena atakayempa mshahara wa milioni saba?
 
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg



JITAMBUE!

nimesoma thread yako mwanzo mwisho lakini nimeshindwa kujua ulichokuwa unataka kukisema,mipasho uliyoizungumzia naiona kwako,too low bro,jitambue wewe kwanza kabla ya kutuambia sisi tujitambue.
 
Hiyo ni mipasho leta hoja hapa kwa nn wanarushiana madongo ili sisi pia tuelewe then naomba ufafanuzi wa kile wanachokifanya Sumaye,EL na Mzee Makamba
 
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg



JITAMBUE!

darasani.jpg

Wewe itakuwa elimu uliipata kutoka katika shule hii maana uelewa wako ni mdogo sana

watoto wa kijijini.jpg

Haya ndio yaliyokusibu hadi kuikimbia nchia yako na kuwa Mtumwa huko UK.

 

Attachments

  • 1395996_540450342705994_1046388824_n.jpg
    1395996_540450342705994_1046388824_n.jpg
    15.3 KB · Views: 31
Ndugu zanguni,

Wote tunajua kuwa chadema kwa sasa haifanyi tena siasa bali wako bize na mipasho hapa mtandaoni na magazetini. Viongozi kwa makamanda wote wanarushiana madongo mazito mazito mpaka hata sisi watani tunaanza kuwa na wasi wasi sasa na hatima ya hiki kikundi.

Chadema ni kama nyumba ya barafu tu, iling'ara sana wakati wa baridi lakini sasa jua limeanza kuwaka ina maana joto litaongezeka na matokeo yake itayeyuka kama barafu na kupotea kabisa.

Kwa staili wanayofanya sasa ya kuchanana live hapa jukwaani , mwisho wake ni kumwigambana halafu kila mtu atachukua hamsini zake.

R.I.P CHADEMA

GONE TOO SOON!
1.1276530557.wild-dogs-fighting.jpg



JITAMBUE!

hata baada ya kujamba bd unapost ushuzi!nilidhan umeisha kumbe bado unao!!
 
Kwa kweli mkuu imenisikitisha sana

I feel sorry kwa Dr kwani kibarua ndio kinaota mbawa hivyo , nani tena atakayempa mshahara wa milioni saba?
Hali tete mkuu,na kamati ya bunge iko njiani kukagua matumizi ya pesa za ruzuku.Babu presha inapanda presha inashuka na sukari inazidi kukolea.
 
Back
Top Bottom