Mwigulu Nchemba anaongea ndani ya Dakika 45 ITV

Mwigulu Nchemba anaongea ndani ya Dakika 45 ITV

Nikikumbuka mabomu ya Arusha na Mwangosi machozi yananilengalenga.Mwigulu anatakiwa kutubu kwa kweli.
 
Ukihesabu watu waliorudi rudi kwenye kipindi hicho kuhojiwa utamkuta Mwigulu anaongoza akifuatiwa kwa karibu na Wasira. Anyway hatujui vigezo vya Producer wa kipindi.
 
Hivi huyu jamaa kwanini anapenda Sana kuvaa skafu na bracelate yenye nembo ya taifa.
Eti anataka kuonesha uzalendo wake!Kumbe hiyo ya kuvaa maandishi ya TANZANIA ni utoto, ulimbukeni na ushamba wa kiwango cha juu sana. Anayofanya Nchemba kama kweli ndio uzalendo, Nyerere angeandika TANZANIA kwenye paji lake la uso!
 
Miimi ndio maana napitwa na mambo mengi maana kuna watu hata akiwa anaongea swala la maana simwamini hata siku moja. Huyu jamaa hata angelikuwa amepewa kazi na WHO ya kutangaza kuwa dawa ya UKIMWI imepatikana siwezi nikashawishika kumsikiliza!
 
Tra vinara wa rushwa,hilo nalo vp?wez wa eskro hawajalipa kod hilo je?[


Ndo hyo issue kaizungumzia kuwa atapeleka sheria ambayo mtumishi akigundulika kaiba afungwe kuanzia siku hyo badala ya kumwachisha kazi au kumhamisha kituo,ni wazo zuri japo wenzie wanaweza kumwangusha ktk kufanikisha hilo so cha msingi tumpeni nguvu kijana mwenzetu ameonesha dhamira ya kuleta mabadiliko
Ujue mdau hawa watawala huwa wanajitungia sheria laini sana,angalia sheria ya baraza la maadili,angalia sheria ya kinga ya raisi,angalia sheria za kutoweka wazi mali za viongozi,sheria ipo,watu hawaitekelezi,na hakuna mbadala wa hilo
 
Ni kweli mkuu ila kiukweli Nchemba wa sahivi si yule wa zamani
Nikusaidie tu,wakat Prof anahangaika kwenda Lithuli alipokuwa kwenye kampeni kule Arusha alikataa kunywa maji yaliyokuwa imported from abroad.
So hawa watu wanapotaka nafas fulani hupenda kuongea yale yatufurahishayo,ila ngoja tuwape mamlaka,wanasahau yoooote,,,,,me siamini akisemacho kwakua ni mambo tulozoea kuyaskia from them
 
Nikusaidie tu,wakat Prof anahangaika kwenda Lithuli alipokuwa kwenye kampeni kule Arusha alikataa kunywa maji yaliyokuwa imported from abroad.
So hawa watu wanapotaka nafas fulani hupenda kuongea yale yatufurahishayo,ila ngoja tuwape mamlaka,wanasahau yoooote,,,,,me siamini akisemacho kwakua ni mambo tulozoea kuyaskia from them

But all in all political is a dead game,tukikaa tukafikiria sana ni kweli tutashindwa hata kuchagua viongozi but atleast wanaoonesha changes lets try to put them in a position
 
Ndg zangu,watanzania wenzangu,vijana wasiokuwa na ajira,kipindi cha uchaguzi ni kipindi cha kuangalia fursa.uchaguzi ni fursa kwa anayejua maana ya fursa.chagua kundi kati ya makundi ya wagombea kwani yote yana pesa ingia ndani.T-shirt xitakuwa hewani,vipeperushi nk.badala ya kuzozana bila tija kujidanganya unatumia Uhuru wa mawazo jioni unarudi kwenu mkavu kama pweza kikapuni.jitume na uangalie fursa kipindi hiki cha uchaguzi.ukikwama nitafute nikupe njia
 
But all in all political is a dead game,tukikaa tukafikiria sana ni kweli tutashindwa hata kuchagua viongozi but atleast wanaoonesha changes lets try to put them in a position
Mdau hii nchi si ya majaribio tena,nchi inayotaka kuwa ya kipato cha kati haiwez kuwa ya kujaribujaribu watu kwenye uongozi,yaani wale elites ifike hatua wawashike mkono non-educated kwenye kufanya uchambuzi wa watu watakaotuongoza, in 2005 watu walikua na hope sana na huyu jama wa sasa,lakini leo hii hata zile tafit za rais mwenye mvuto hazifanyiki,hata akiongea watu hawamsikilizi ni kwakua watu wamechoka,yale matumaini yao yamepotea, na hili ndio chanzo cha watu kutopiga kura.Siamini katika MWIGULU,wala Makamba Jr,wala KIGWA or else, wanasiasa hucheza wimbo mmoja wa kuwahadaa wapiga kura.
 
Ndg zangu,watanzania wenzangu,vijana wasiokuwa na ajira,kipindi cha uchaguzi ni kipindi cha kuangalia fursa.uchaguzi ni fursa kwa anayejua maana ya fursa.chagua kundi kati ya makundi ya wagombea kwani yote yana pesa ingia ndani.T-shirt xitakuwa hewani,vipeperushi nk.badala ya kuzozana bila tija kujidanganya unatumia Uhuru wa mawazo jioni unarudi kwenu mkavu kama pweza kikapuni.jitume na uangalie fursa kipindi hiki cha uchaguzi.ukikwama nitafute nikupe njia
Uchaguzi ukiisha?
 
Back
Top Bottom