Mwigulu Nchemba anaongea ndani ya Dakika 45 ITV

Mwigulu Nchemba anaongea ndani ya Dakika 45 ITV

Viongozi wetu wana mipango mizuri sana tatizo ni matendo.
 
Tra vinara wa rushwa,hilo nalo vp?wez wa eskro hawajalipa kod hilo je?[


Ndo hyo issue kaizungumzia kuwa atapeleka sheria ambayo mtumishi akigundulika kaiba afungwe kuanzia siku hyo badala ya kumwachisha kazi au kumhamisha kituo,ni wazo zuri japo wenzie wanaweza kumwangusha ktk kufanikisha hilo so cha msingi tumpeni nguvu kijana mwenzetu ameonesha dhamira ya kuleta mabadiliko
 
Hajaongelea kuhusu wizi wa fedha jimboni kwake Ilamba.
 
Nimemsikiliza Naibu Waziri wa Fedha Mh.Mwigulu Nchemba katika kipindi cha Dk.45 ITV,anayo majibu kuhusu kwanini nchi ni maskini kulinganisha na January
Makamba katika kitabu chake kilichozungumzwa sana cha Maswali 40.January amepiga tu blah blah za kisiasa lakini Mwigulu speaks substance.

Kwa mfano anashangaa kwamba mashirika ya umma yanayopaswa kuchangia zaidi ya asilimia 50 ya budget,mabosi wa mashirika hayo wameyageuza kuwa mali zao binafsi na wanajipigia tu hela,pia anashangaa kuwa mtu mwenye ng'ombe 10,000 halipi kodi.Naona anazungumza vitu halisia kuliko hata Mkuu wa Kaya mwenyewe aliyewahi kusema haelewi kwanini nchi hii ni maskini.

Yale yale hiyo ndiyo sura ya budget mpya ijayo. Baada ya kufuta kodi ya kichwa binadamu sasa inahamia kwa ng'ombe.

LAMECK, Elekezeni nguvu kwa hao wazee wa vijisent!? Mnatafuta nn kwetu tusio hata vithumuni?????
Ukikamata kodi kwa wenye vijisenti watano tu ni sawa na wafugaji elfu tano na ng'ombe wao millioni tano!

Kama kweli tunataka kuwa clean, watenda haki, wasema kweli tujibu kwa uwaxi huo huo yafuatayo
1.Kwa nini watu wenye vijisenti hawalipi kodi?
2. Hivi wewe waziri unalipwa mshahara (gross) kiasi gani na kodi unalipa kiasi gani?
3. Mbunge analipwa mshahara (gross) kiasi gani na kodi unalipa kiasi gani?

Kwa vile Serikali inasema inaongozwa kwa ukweli na uwazi pia uhakika,
na kwa vile kiongozi mzuri ni yule anaye ongoza kwa vitendo, pia mfano;
Mishara ya viongozi wa umma iwe wazi na makato yao ya kodi yawe wazi. Nadhani kenya walifanya hivyo pia.

Asante.
 
Swali la kwanza JOKA LA MAKENGEZA limehalipa kodi? na prof wa pesa za mboga je? Sina shida ya kumwangalia huyu.Mbona Kamanda Mbowe licha ya kuwa na wadhifa mkubwa humleti kwenye 45 minutes?
teh teh, mkuu hata mimi nilikuwa najiuliza, ina maana itv wameshindwa kutafuta watu wengine? Wapi kina saada mkuya, lisu, mbowe, lipumba, magufuli na wengineo? Itv waache ulevi huu!
 
Nimemsikiliza Naibu Waziri wa Fedha Mh.Mwigulu Nchemba katika kipindi cha Dk.45 ITV,anayo majibu kuhusu kwanini nchi ni maskini kulinganisha na January Makamba katika kitabu chake kilichozungumzwa sana cha Maswali 40.January amepiga tu blah blah za kisiasa lakini Mwigulu speaks substance.

Kwa mfano anashangaa kwamba mashirika ya umma yanayopaswa kuchangia zaidi ya asilimia 50 ya budget,mabosi wa mashirika hayo wameyageuza kuwa mali zao binafsi na wanajipigia tu hela,pia anashangaa kuwa mtu mwenye ng'ombe 10,000 halipi kodi.Naona anazungumza vitu halisia kuliko hata Mkuu wa Kaya mwenyewe aliyewahi kusema haelewi kwanini nchi hii ni maskini.
teh teh, kwa hiyo na yeye anashangaa? Je waliokosa madaraka wafanyaje? Kila mtu analalamika. Duh, huu ndo usanii wa wanaccm!
 
Back
Top Bottom