Mwigulu Nchemba akana kauli yake

Mwigulu Nchemba akana kauli yake

Mtahangaika sana na mwigulu mwenzenu anajenga chama chake na kutumikia watanzania.
 
Nimemskia hata mimi VOA kijana asiyejitambua, mimi nika conclude kuwa kwa vile alitengeneza maneno ya Lwakatale basi akili yake inawaza hayoyo hajui wenzake wako makini zaidi kuliko yeye.
 
Mkuu, ungefunguka zaidi amesemea wapi au ungetupa chanzo cha hii habari tafadhari.

chanzo ni mahojiano yake na mtangazaji wa VOA jioni ya leo...acha tuweke kumbukumbu sawa asije akakana na hili.
 
leo mwigulu ameongea kwa unyonge sana si kawaida yake, mambo yamemwia magumu anatafuta pakutokea. zamwizi ni 40.
hatimaye ameyakana matamshi yake mwenyewe anadai amewekewa maneno.
 
Ndio raha ya JF kama hiyo video iliwekwa hapa jamvini sijui atakimbilia wapi gaidi huyu na kukurupuka kwake. Ushahidi tosha kabisa wa kumtia hatiani....Anaweza kudai imechakachuliwa!!!
 
Bado nafikiria namna bora ya kulisaidia Taifa langu badala ya kukesha na porojo za JF bila kuchukuwa hatuwa.
 
Baada ya muda damu itamgeukia kwa mauaji anayosababisha.
 
Ziko timamu kweli huyu jamaa, na hii video ilorekodiwa hakuwa yeye?
 
Mtahangaika sana na mwigulu mwenzenu anajenga chama chake na kutumikia watanzania.

nani atahangaika na mtu anayesemwa kuwa ni jini makata nyonya damu yale meno yake unaambiwa yameubwa kula nyama za watu kwao wasema hivyo
 
Back
Top Bottom