Mwigulu Nchemba akana kauli yake

Mwigulu Nchemba akana kauli yake


Ndugu yangu Mwigullu ..Mdogo wangu...

Naomba nenda pale Chuo kikuu ajiri Political Scientist akufanyie tathmini.....ya siasa Zako ...



Tathmini ya haraka haraka ya kina kabisa inaonesha kuwa aina ya siasa unazofanya zinakiumiza Chama cha mapinduzi..kuliko kusaidia ...Kwa kiasi kikubwa unashindwa Kusoma mazingira ya hadhira...Umezidisha Propaganda...Zaidi kuliko kuongelea kwa lugha nyepesi na ya kueleweka Sera za Chama
Wananchi wa Leo wanahitaji Zaidi kusikiliza sera kuliko porojo...,uwongo au propaganda....
Uchaguzi wa mwaka 2015 utaamuliwa na vijana...ili CCM ishinde ni lazima ihangaike na agenda za vijana ambao kwa sasa...wanao uelewa ...na aina ya siasa unazofanya hazita kuwa na tija ........Ongelea namna ya kutengeneza Ajira..kupitia Kilimo,viwanda..ufundi .....,ufugaji etc...

Siasa Zako zinaonekana ni za uchonanishi na utangano.....hazikujengi wewe Kama Statesman...yaaani mwana siasa ambayo atafikiri mbali ya upeo wa Chama Chake ....na kujenga Utaifa Zaidi .....,Ukitazama miaka mitatu ijayo Kama hutabadili aina ya siasa Zako na kujielekeza kwenye Issues na kuwacha propaganda......naona utakuwa na nafasi finyu ...Sana yakuendele kuwa kwenye nafasi kubwa kwenye Chama au serikali.....ukijilinganisha na wana siasa wengine vijana ndani ya CCM ......Kama January Makamba...,Maselle ( tazama Jana ulipomaliza kumwaga propaganda bungeni...Massele alisimama akajielekeza kwenye hoja )...Emmanuel Nchimbi......,Hussein Mwinyi..,Lazaro Nyalandu...,Deo Fulikunjombe..,etc
Kama kijana ni muhimu kufanya siasa za sasa na wakati ujao.....,ili kujijengea uhalali Kitaifa ni lazima ukubalike na vijana wote ndani ya Chama na hata tena hasa nje ya chama.....,Watu wanakulinganisha na Hawa Ghasia...kwa kuongea bila kufikiri.

Ni lazima uangalie beyond ....2015....,vijana wenzako ndani ya CCM wamejingea heshima ndani na nje ya CCM........ukiamua kubadili aina ya siasa unazofanya kwa sasa unayo nafasi...ya kuwa kiongozi wa wakati ujao wa CCM ...

Tatizo la huyu kiburi na unafiki umemjaa na wenzake ccm ndo wanaomdanganya afanye propaganda za kuihujumu CDM nae pasipokufikiri anatekeleza pasipokujua anapotea kisiasa na akishapotea asitegemee ccm watamgeukia ama kuwa nae tena la hasha watamtupilia mbali kama toilet pepa isiyokuwa na thamani baada ya kutumika
 
Siasa ya Maji taka ni Kama fasheni siku hizi Kwani Mwanasiasa hapati shida kufikiria Sera Bali hubuni kile anachokiamini kitamweka pale anapoamini Patamnufaisha Binafsi . Siku hz Hakuna anayedai Sera Sababu utekelezaji wa Sera ni tatizo Sugu huku wananchi Nao wamekomalia kudai ahadi za wanasiasa hivyo kuwafanya waogope kunadi sera zao kwa wananchi wadai Haki
 
Hakika jina Mwigulu halitasahaulika kamwe kama jina la mtu hatari aliyepata kutokea katika siasa za Tanzania..

Sio mtu hatari usimpe sifa bila sababu. Ana uhatari gani? Sema ni mtu m.j.i.n.g.a kuwahi tokea tanzania.
 
Hakuna cha unyonge ila hakukuwepo na mapepo ya kukemea. Nimeongea kwa lugha ya mazungumzo sio ya kukemea mapepo ya bungeni

Bwana akamwambia kaini, yuko wapi habili ndugu yako? Akasema sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? Akasema umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka ardhini.
BASI SASA UMELAANIWE WEWE KATKA ARDHI ILIYOFUMBUA KINYWA CHAKE IPOKEE DAMU YA NDUGU YAKO KWA MKONO WAKO.
Mwigulu kwa damu hizi ulizomwaga bila hatia umelaaniwe wewe na familia yako. Damu zao zitakuwa juu yako na kizazi chako. Umeua kwa upanga nawe utauliwa kwa upanga.
Eeee mwenyezi mungu sikia vilio vya damu inayokulilia toka ardhini. Amina.
 
Akizungumza kwa sauti ya unyonge ...amesema kauli ya kwamba ''msipoichagua ccm mtakufa'' ni ya kutengenezwa.

Source Voa via RFA.

hata kuuzwa loliondo, walikana, Zanzibar kujiunga na OIC walikana, kwamba kuna mafisadi walikana wakavuana magamba.... Hatuwashangai... MI NIJUWACHO KUNA SIKU MTAKUJA KUKANA JINSIA ZENU...
 
Bwana akamwambia kaini, yuko wapi habili ndugu yako? Akasema sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? Akasema umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka ardhini.
BASI SASA UMELAANIWE WEWE KATKA ARDHI ILIYOFUMBUA KINYWA CHAKE IPOKEE DAMU YA NDUGU YAKO KWA MKONO WAKO.
Mwigulu kwa damu hizi ulizomwaga bila hatia umelaaniwe wewe na familia yako. Damu zao zitakuwa juu yako na kizazi chako. Umeua kwa upanga nawe utauliwa kwa upanga.
Eeee mwenyezi mungu sikia vilio vya damu inayokulilia toka ardhini. Amina.

Ameen mtumishi. Mwigulu unaionaje hii sala? We ni binadamu wa namna gani? Unachukiwa. Tambua siasa ilikuwepo kabla na itakuwepo baada yako. Bro fikiria maisha yako baada ya siasa.
 
Hiyo Ndo CCM bana, Maana hajui kwamba kauli hizo zinarekodiwa. Ebu turushieni Video yake hapa ili tuiangalie upya namna ilivyotengenezwa
Amesema hakusema bali iliandikwa na kutengeneza halafu ikaeditiwa. Inaelekekea alikuwa anatuonyesha uzoefu wa kutengeza video za akina Lwakatale.
 
Hata mimi nimemsikia. Tuwekeeni tena ile video ya youtube tujirithishe. Naona kama ameona hiyo kauli inamatch sana bomu, anataka kujivua. Lakini huyu jamaa ni home boy wangu halafu namchukia kama shetani!
Tz Pride.
Goegraphical boundaries ndio zinakufanya udhani ni home boy wako lakini kitamaduni mnatofautiana sana. mlingamishe na Lissu ndio utaaojna tofauti . njaghamba yuenda uhungu!
 
Hakuna cha unyonge ila hakukuwepo na mapepo ya kukemea. Nimeongea kwa lugha ya mazungumzo sio ya kukemea mapepo ya bungeni
Pepo kama wewe akemee pepo? Lakini inawezekana maana unaujua vizuri ulimwengu wa mapepo.
 
Hakuna cha unyonge ila hakukuwepo na mapepo ya kukemea. Nimeongea kwa lugha ya mazungumzo sio ya kukemea mapepo ya bungeni
nimekusikiliza mara kadhaa ndani na nje ya bunge.kwenye mkutano wa ndani na wa majukwaani....sauti yako ya jana ilionyesha uwoga!lazima roho za watoto wale zikulilie na kamwe huwezi kuwa na amani ya moyo!

Kamwe huwezi kujilinganisha na kina Usama au Savimbi kwani hawa walikuwa wana kitu/sera(ideilogy) wanachokipigania.wewe huna unachokipigania zaidi ya kuzua visa.
Unapigania ujamaa?la hasha wewe ni mleta vituko tu na mara nyingi watu wa aina yako huishia kupelekwa mirembe!
 
Back
Top Bottom