Mwigulu Nchemba akana kauli yake

Mwigulu Nchemba akana kauli yake

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,829
Akizungumza kwa sauti ya unyonge ...amesema kauli ya kwamba ''msipoichagua ccm mtakufa'' ni ya kutengenezwa.

Source Voa via RFA.

majibu ya Mwigulu Nchemba katika thread hii....

by Mwigulu Nchemba.
Hakuna cha unyonge ila hakukuwepo na mapepo ya kukemea. Nimeongea kwa lugha ya mazungumzo sio ya kukemea mapepo ya bungeni

 
Last edited by a moderator:
Ni katika Matangazo ya jioni RFA via VOA, alipo kuwa anahojiwa kuhusu tukio la bomu ARUSHA. Amesema hiyo kauli ni maneno ya kutengenezwa tu na haja wahi kutoa kauli kama hiyo kwenye mkutano wowote ule.
 
Mwingulu Nchemba amekanusha usemi huo wakat akihojiwa na VOA. Source Voa via RFA.
 
Hata mimi nimemsikia. Tuwekeeni tena ile video ya youtube tujirithishe. Naona kama ameona hiyo kauli inamatch sana bomu, anataka kujivua. Lakini huyu jamaa ni home boy wangu halafu namchukia kama shetani!
 
Kasema ndama/mtpoto wa ng'ombe akikataa kunyonya mama yake atakufa,inamaana watu wakikataa kufuata uccm watakufa/kukosa haki/kuuwawa/kufa njaa/kukosa utetezi/kufungwa/kuteswa/kulengwa na vitu nyenye nchakali/ kulipuliwa hadharani na makanisani/ na mingine kama haya..Hiyo ni kauli ya wazi,maana waswahili walisema akutukanae hakuchagulii tusi. Ujumbe wake ulieleweka vyema asibishe kabisa.
 
huyu jamaa kwanini asilipuliwe kwa kutegewa bomu iliotengenezwa ujerumani tena asikutwe mzoga wake bali majivu tu .
 
Hata mimi nimemsikia. Tuwekeeni tena ile video ya youtube tujirithishe. Naona kama ameona hiyo kauli inamatch sana bomu, anataka kujivua. Lakini huyu jamaa ni home boy wangu halafu namchukia kama shetani!

Ni bora nikutane na shetani kuliko Mwigulu.
 
Ni katika Matangazo ya jioni RFA via VOA, alipo kuwa anahojiwa kuhusu tukio la bomu ARUSHA. Amesema hiyo kauli ni maneno ya kutengenezwa tu na haja wahi kutoa kauli kama hiyo kwenye mkutano wowote ule.

Na yeye atakufa tu. Siasa chafu Tanzania zimenichosha.
 
yamezoea kukanusha kauli zao.
"utasikia mlininukuu vibaya"
 
Kakamatwa pabaya mods pliz pachika ile video

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
naona kayasikia maoni ya watanzania kupitia sauti ya amerika
 
Sasa mtu asiye na ubongo sawia atakumbukaje alichotamka?
Kukana alichokisema anamaanisha nini-ni kwamba ana mzuka!?
MchumiA tumbo NO.1 huyo!
 
Mmmmmh! Leo ameikana kauli yake?
Hata PM ataikana ile ya kwake ya jana pale majengoni!

Kama kweli haki itasimama Mi naona yao ni ngumu!
 
Hata mimi nimemsikia. Tuwekeeni tena ile video ya youtube tujirithishe. Naona kama ameona hiyo kauli inamatch sana bomu, anataka kujivua. Lakini huyu jamaa ni home boy wangu halafu namchukia kama shetani!

Ile video ilikatwa sekunde mbili tatu kabla ya tamshi hilo
 
nimemsikia VOA kuwa ile sauti ni yake ila imetengenezwa yeye ajatamka hayo maneno kabisa....nikacheka sana sema muda ulikwisha wageni wengine awakuweza kupewa nafasi ya kuchangia
 
Huyu kijana ni janga ANATAPA TAPA.. Mwisho wao unakuja
 
Back
Top Bottom