Mwigulu Nchemba aipongeza klabu ya Simba bungeni na kuipigia debe

Mwigulu Nchemba aipongeza klabu ya Simba bungeni na kuipigia debe

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha aipongeza Klabu ya Simba bungeni;

"Lakini tulisaini mkataba na federation, tutatumia ile, tutavitumia vilabu vya Simba na Yanga vina walipa kodi wengi wafuasi wengi ili viweze kusaidia kutoa elimu pamoja na michezo yote itumike katika kutoa masuala ya kuelimisha watu kulipa kodi kwa hiyo hata hivi sasa niwapongeze Simba bado wana michezo ya Kimataifa, niwapongeze sana, mimi sio shabiki wa Simba"

 
Wamejua kua watanganyika wameweka nguvu kwa simba n YANGA tu. Mambo y muhimu BIG NO. Wao ndio wanapigia umo pesa.
Endeleeni kupumbazika.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom