wewe uliyeweka hii thread pia unafaa kuwa Waziri Mkuu.
Hahaha chizi maarifa.vp uko poa!!!!
wewe uliyeweka hii thread pia unafaa kuwa Waziri Mkuu.
Ana jini kashi kashi kama si ashki majnuni zamsumbua huyo
this is the season we will witness most politicians indulging in some playacting.I reward this man a B plus...
this is the season we will witness most politicians indulging in some playacting.I reward this man a B plus...
Kwanini hujampa A?
Jaku Ayoub atakuwa amepewa pesa!!!!!!
time frame imehusika kumshusha grade..kachelewa sana kujiweka upande wa haki...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mbunge Jaku Ayoub amesema Mwigulu muda si mrefu utakuwa mkuu wa Nchi.
Jaku Ayoub ni Mbunge kutoka baraza la wawakilishi, ameyasema leo kipindi cha maswali na majibu Bungeni baada ya Naibu waziri wa fedha Mwigulu Nchemba kujibu swali lake la msingi.
My take: CCM kuweni makini na huyu Kijana.
Umepotea Sana mpenzi.
Ukuu wa nchi umekuwa mwepesi sana
Mkuu Mwanamalundi heshima kitu cha bure,kuna viongozi,mama zetu na baba zetu wapi humu.Rudisha akili
Mkuu Mwanamalundi heshima kitu cha bure,kuna viongozi,mama zetu na baba zetu wapi humu.Rudisha akili
Nimezipenda sana simulizi za Jungu Kuu halikosi ukoko.
MN ni JK wa pili!!!
Unaishi sayari ya Mars? U-miss Tanzania hadi watoto wa marais na wabunge wanaugombania na baba na mama zao wako tayari kusaidia uchakachuzi ili waende kadamnasi kuonesha miili yao!!!!!!!!!!!!!!!