Mwigulu Nchemaba itisha kongamano la kuhamasisha maendeleo Iramba

MAPUMA MIYOGA

JF-Expert Member
Jan 30, 2013
3,792
2,362
Mh. Waziri,

Naiona Iramba ikiwa imepoa sana katika harakati za maendeleo! katika kila sekta pamepoa. Tumefanya vizuri katika madawati, lakini bado shule zetu si shindani katika nchi hii. majengo ya shule zetu ni duni sana na hata elimu inayopatikana humo sio ya kiwango ambacho tunaweza kushindana katika elimu nchini!

Bado wananchi wanachangia maji na mifugo-ni vema hili likafanyiwa kazi. Najua uko bize sana na majukumu ya kitaifa, lakini bado unaweza kupata muda kidogo ukawaita wanairamba na wadau wengine tukashirikiana kuileta Iramba pamoja.

Naamini kwa nafasi yako ya ubunge, unajua changamoto zinazoikabili Iramba, ni muda tu na mipango na initiation zinahitajika ili kuweza kuiinua Iramba.

Ni hayo tu
 
Kuna ushahidi wa kutosha kutokana na historia za siasa za mkoa wa Singida, mawaziri wote walotangulia kutoka mkoa wa Singida hawakufanya juhudi kusaidia Jamii ya Singida kwa ujumla

Mwigulu Nchemba ni nafasi Yako kutumia ushawishi wako kuwaunganisha wananchi wa Singida na kuhamasisha maendeleo

Futa historia mbaya ya mawaziri waliotangulia ambao walitoka mkoa wa Singida
 
Kuna ushahidi wa kutosha kutokana na historia za siasa za mkoa wa Singida, mawaziri wote walotangulia kutoka mkoa wa Singida hawakufanya juhudi kusaidia Jamii ya Singida kwa ujumla

Mwigulu Nchemba ni nafasi Yako kutumia ushawishi wako kuwaunganisha wananchi wa Singida na kuhamasisha maendeleo

Futa historia mbaya ya mawaziri waliotangulia ambao walitoka mkoa wa Singida
Huyo nae atapita bila kufanya chochote
 
Busy na siasa kwanza huko Iramba kaja lini Mara ya mwisho?
Asipokua makini ataishia alipo Nyalandu.
 
Busy na siasa kwanza huko Iramba kaja lini Mara ya mwisho?
Asipokua makini ataishia alipo Nyalandu.
Ndio maana anaitwa maana amepotea moja kwa moja. Tena bora Nyalandu kaishia ubunge, huyu ataishia alikoishia Kapuya
 
Hawezi fanya hilo mwichemba labda cjui ashauriwe na nani.
Yule jamaa ni mgumu anategemea kuvuna mahaliasipopanda
 
Wabunge wa jimbo letu hili kwa hakika huwa wananipa shida sana. hakuna progress katika elimu, shule za mkoa ni Mwenge na Tumaini ndio angalau toka enzi za mkoloni. hakuna shule mpya inayoonekana kuleta tofauti katika mkoa. Wananchi tu ndio wamejitahidi kwa vishule vya kata ambavyo very low quality na hata elimu humo ni ya div 4 tu, lakini bado mkoa na wabunge wote hakuna anayewaza namna ya kubadili hali hii.
 
Back
Top Bottom